Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Umenena rafiki ...cheap is always expensive
Asante kwa ushauri mzuri huu kabisa .
Huwa mnawatoboa hao vichanga wakiwa na miezi mingapi ?
Kuna mwingine mtoto ana mwezi tu anampeleka , mi wangu nilimpeleka akiwa ana miezi mitatu na yupo vizuri kabisa hata hakulia, tho kwa watoto wadogo healing kwao ni very fast ila nikuwa makini ukitoboa unalipa uwangalizi ndani ya siku tano na kuweka spiriti kuua bacteria wanaoweza kukuletea infection
 
Ooh Asante
Tanzania hapa tuna imani nyingi mno
Ss hii ni 2014,15-17... Can u imagine
20140224_105034.jpg

Picha nyingi ila zinatosha kwaleoView attachment 2180685View attachment 2180686View attachment 2180691
 
Mimi baada ya miezi 3,hata ikiota mapema inabidi usubiri baada ya miezi hiyo..
Mweh hiyo dawa .. ni dawa nzuri mno nakumbuka tulikuwa tunaipaka ya zamani ile.
Nywele zangu nikisuka tu zishaoteana na kushikana huko ..

Huwa nikipaka dawa after week kama sijapaka vile
Mtu anaanza kunishangaa wewe uliweka dawa kweli
 
Unaosha dear una blow-dry unasuka pia jitahid kusuka nywele ambazo haziathiri ukuaji wa nywele
Epuka pia kusuka nywele zinazovutwa Sana zinasababisha nywele kukosa nafasi ya kukua vzuri na kukatika

Ukiona unakaribia kuretouch usiretouch siku unayofumua kma umesuka fumua ziache hata sikumoja zitulie then retouch

Ooh Asante
Sema hivi vinywele vyangu sijui kama vitaweza kukaa miezi yote hiyo . Na kusuka nywele nikae nazo muda mrefu siwezi .

Hapa nimesuka Yebo yebo nipo week ya tatu ,nimezichoka hatari .. natamani kuzifumua tu
 
Back
Top Bottom