Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
SawaSawa
Nitakupitishia
Niwekee karanga zilizomenywa za buku 2
SawaSawa
Nitakupitishia
Niwekee karanga zilizomenywa za buku 2
Mm huwa dawa hazinikubali naungua Sana nikajaribu olive oil ikakubali lkn kila mwez nywele imeota nikazikata now ni hizo natural hair japo soon nitaziweka dawa View attachment 2180692





Inategemea unatumia ya nazi yapi .Aisee watu mno siriazi jamani hadi raha
Aibu napata mimi nayepaka tu nafuta ya nazi![]()
Unaifuata saa ngapi???😏naomba apple 😜😜
Ndo hayohayo napata kuanzia kichwani hadi miguuniInategemea unatumia ya nazi yapi .
Kuna ya nazi mazuri mno .



Kuna mtu amezoom kwenye kioo aone sura,, au ni mimi tuSs hii ni 2014,15-17... Can u imagineView attachment 2180682
Picha nyingi ila zinatosha kwaleoView attachment 2180685View attachment 2180686View attachment 2180691


Kiasi dear sema ni vizuri kushare unachofahamuWewe ni hair stylist eeh maana unajua
Asante sana nitazingatia hili .
Siretouch sana ikitokea zimeotea inabidi uweke tu maana haupendezi hata ...
Hata mi naona kabisa ndo nakoelekea,nayoa nianze naturalMm huwa dawa hazinikubali naungua Sana nikajaribu olive oil ikakubali lkn kila mwez nywele imeota nikazikata now ni hizo natural hair japo soon nitaziweka dawa View attachment 2180692

Hatari na nusuSio mbaya bado zipo zipo kiasiView attachment 2180708View attachment 2180709



tupia na wewe uhair

Aisee watu mno siriazi jamani hadi raha
Aibu napata mimi nayepaka tu nafuta ya nazi![]()


Parachute mazuri bhana .. yananukia .Ndo hayohayo napata kuanzia kichwani hadi miguuni![]()
Unaweka dawa?Mimi zangu zinakatika sana mbele mpendwa
Affirmitive that's youMkongo huyu anajua kuweka style balaa
Sema anakuunguza hadi unaomba poo nimemhama mie View attachment 2180710
NyieMkongo huyu anajua kuweka style balaa
Sema anakuunguza hadi unaomba poo nimemhama mie View attachment 2180710




asahivi, ila siku ile uliniacha kituoni usiku mzima nakusubiri 😀😀😀Unaifuata saa ngapi???😏
Usiweke dawa Auntie wa Junia
Ziache hivyohivyo

mafundi wananisimanga dear buku zangu za kusuka lakn naonewaInategemea unatumia ya nazi yapi .
Kuna ya nazi mazuri mno .
Mbona nzuriMkongo huyu anajua kuweka style balaa
Sema anakuunguza hadi unaomba poo nimemhama mie View attachment 2180710