Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mideko jamani
Naona upo twenti twenti sasa
Screenshot_20220404-194749.jpg
Screenshot_20220404-194716.jpg
 
hamna ukweli kwenye kukosa vingi.. inategemea na definition ya mke kwako.. But kwa definition yangu hakuna sehemu ya mwanamke kwamba ana muhumu. Ingawa wenye ndoa nawafurahi nawapongeza na ni jambo jema.. ila sio mke atakufanya uwe complete na pia mke anaweza kukufanya ukawa complete
Kuna statement inaenda hivi "watu hawajui na hawajui kama hawajui". Asee hujui unachomiss. Ndio naingia home, nimekaribishwa nikaulizwa niandaliwe chakula bedroom (anajua kuwa nimechoka akili Nahitaji utulivu)?
 
Kuna statement inaenda hivi "watu hawajui na hawajui kama hawajui". Asee hujui unachomiss. Ndio naingia home, nimekaribishwa nikaulizwa niandaliwe chakula bedroom (anajua kuwa nimechoka akili Nahitaji utulivu)?
ahaha.. ndio maana nikasema definition ya maisha yako ina mwana mke.. na unaona mwanamke mkeo ni part ya maisha yako.. upo sahihi kabisa.. But kuna definition ingine ya maisha isiyo na mwanamke mke na ina work perfect.. maisha na maana zake ni pana.. hatuwezi wote kuishi kwenye category moja
 
Sasa unakuta mzazi mshenzi mshenzi.. toka mtoto anakua anaona ushenzi na upumbavvu wa wazazi.. unategemea mtoto awaje.. haya mzazi anamjenge mtoto mazingira hatarishi unategemea inakuwaje.. tunashukuru wazazi walikuwa kama makatili ili tulinyooka.. nakumbuka nilikuwa nikizungua.. nafungwa kamba miguuni na mikononi hakuna kula.. unakula stick hadi unakomaaa na hupewi chakula. na hapo yoyote alie kuzidi umri akiona unapuyanga anakuunyoosha hatari.. unafikiri kwa hiyo dozi unarudi tena kosa
Make kwanza ncheke ,

Umenikumbusha na mimi mother alikua mkali sana stick nimechezea za kutosha. Kuna siku ilikua funga kazi, sikumbuki nilifanya kosa gani, ila nilichezea fimbo za kutosha. Baadae nikafungwa kamba nikaachwa nje mida ya jioni ilikua kagiza kanakaribia kuanza.

Nilikua naugulia maumivu, plus nimefungwa kamba siwezi kujikuna, nilikaa nje mpaka kwenye saa3. Muda huo nalia tu na nilikua muoga nilifunguliwa kwasababu ilikua mida ya mzee kurudi tokea hapo nilinyooka...

Wazazi wengi wa siku hizi wanachekeana na watoto wao....
 
Make kwanza ncheke ,

Umenikumbusha na mimi mother alikua mkali sana stick nimechezea za kutosha. Kuna siku ilikua funga kazi, sikumbuki nilifanya kosa gani, ila nilichezea fimbo za kutosha. Baadae nikafungwa kamba nikaachwa nje mida ya jioni ilikua kagiza kanakaribia kuanza.
Nilikua naugulia maumivu, plus nimefungwa kamba siwezi kujikuna, nilikaa nje mpaka kwenye saa3. Muda huo nalia tu na nilikua muoga nilifunguliwa kwasababu ilikua mida ya mzee kurudi tokea hapo nilinyooka...

Wazazi wengi wa siku hizi wanachekeana na watoto wao....
😀😀😀 siku hizi uki mtaitisha mtoto hivyo mke kama mkuda utamkuta ustawi wa jamiii 😄😄
 
Back
Top Bottom