Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasa unakuta mzazi mshenzi mshenzi.. toka mtoto anakua anaona ushenzi na upumbavvu wa wazazi.. unategemea mtoto awaje.. haya mzazi anamjenge mtoto mazingira hatarishi unategemea inakuwaje.. tunashukuru wazazi walikuwa kama makatili ili tulinyooka.. nakumbuka nilikuwa nikizungua.. nafungwa kamba miguuni na mikononi hakuna kula.. unakula stick hadi unakomaaa na hupewi chakula. na hapo yoyote alie kuzidi umri akiona unapuyanga anakuunyoosha hatari.. unafikiri kwa hiyo dozi unarudi tena kosa
Aisee mm nilikuwa na bahat na kipigo alafu baba alikuwa mwanajeshi,mama nae alikuwa hapendi ujinga nikiharibu

nawekwa kwenye korido mama anakaa upende wake na baba upande mwingine Yan hakuna pakutokea unachezea kipigo Hadi unaomba Foo

Yan usalama wako fimbo ziishe na zikiisha lazima ule mitama hata mitatu ndo ukalale
 
Aisee mm nilikuwa na bahat na kipigo alafu baba alikuwa mwanajeshi,mama nae alikuwa hapendi ujinga nikiharibu

nawekwa kwenye korido mama anakaa upende wake na baba upande mwingine Yan hakuna pakutokea unachezea kipigo Hadi unaomba Foo

Yan usalama wako fimbo ziishe na zikiisha lazima ule mitama hata mitatu ndo ukalale
😄😄😄😄 safi sanaaa... ndio dozi hizo.. mie nilikuwa nafungwa kamba kwanza.. miguuni na mikononi.. vitu vinapenya hujishiki hata.. alafu hapo hakuna kupewa chakula duh! unakuwa ukiwaza kichapo.. una sita unarudi nyuma..
 
😄😄😄😄 safi sanaaa... ndio dozi hizo.. mie nilikuwa nafungwa kamba kwanza.. miguuni na mikononi.. vitu vinapenya hujishiki hata.. alafu hapo hakuna kupewa chakula duh! unakuwa ukiwaza kichapo.. una sita unarudi nyuma..
Duh mlikuwa mnafanya makosa ya aina gani ukorofi umeanza mda kumbe😬
 
Aisee mm nilikuwa na bahat na kipigo alafu baba alikuwa mwanajeshi,mama nae alikuwa hapendi ujinga nikiharibu

nawekwa kwenye korido mama anakaa upende wake na baba upande mwingine Yan hakuna pakutokea unachezea kipigo Hadi unaomba Foo

Yan usalama wako fimbo ziishe na zikiisha lazima ule mitama hata mitatu ndo ukalale
Hadi mitama babeq🤣🤣🤣🔥🔥🔥
 
😄😄😄😄 safi sanaaa... ndio dozi hizo.. mie nilikuwa nafungwa kamba kwanza.. miguuni na mikononi.. vitu vinapenya hujishiki hata.. alafu hapo hakuna kupewa chakula duh! unakuwa ukiwaza kichapo.. una sita unarudi nyuma..
Mzee wangu alikuwa anakwambia ingia uvungu wa kitanda nusu mpka kiunoni 😂😂😂😂 ukicheza cheza wakati unachapwa wewe unagonga chaga Tu 😂😂😂
 
Back
Top Bottom