Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

acha mambo hayoo.. hakuna kinachokosekana kwa asie oa pia.. pattern ya mwandamu tofauti ndio maana wote hatujawa designed kuoa mzeee
Assume huna nguo nyumbani kwako. Kila ukihitaji kuvaa nguo (na lazima uvae) unaenda kuomba/kununua nguo. Hizo taabu utakazozipata hazisemeki.

Sasa mke ni zaidi ya nguo. Ni rafiki, ni partner, ni usingizi, ni mshauri, ni mshindani n.k Unakosa vingi asee
 
photoCollageMaker_20220404_191643482.jpg
 
Assume huna nguo nyumbani kwako. Kila ukihitaji kuvaa nguo (na lazima uvae) unaenda kuomba/kununua nguo. Hizo taabu utakazozipata hazisemeki.

Sasa mke ni zaidi ya nguo. Ni rafiki, ni partner, ni usingizi, ni mshauri, ni mshindani n.k Unakosa vingi asee
😀😀😀 hamna ukweli kwenye kukosa vingi.. inategemea na definition ya mke kwako.. But kwa definition yangu hakuna sehemu ya mwanamke kwamba ana muhumu. Ingawa wenye ndoa nawafurahi nawapongeza na ni jambo jema.. ila sio mke atakufanya uwe complete na pia mke anaweza kukufanya ukawa complete
 
Back
Top Bottom