Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

kn siku niko obay pale shule kumchek.mwl alimkosesha mwanafunzi swali.mwanafunzi akamwambia mwl huna akili.hujielewi
😀😀😀 hapo teacher angekuwa chizi dogo angejilaumu.. ila usema kweli walimu wa sasa hivi nao maadili hamna.. kuna siku nilikuwa nyumbani na mama la mama.. akaja rafiki yake ni mwalimu katoka shule.. yaani alivyo vaaa.. nikasema hapa wanafunzi wakiume lazima wakose adabu
 
mtoto alieshindikana hata mzazi wake kashindikana pia.. mtoto hajajizaa, mtoto hajajilea mtoto kafundishwa mtoto kalelewa
Ila hii ipo kweli..nina ndugu yangu wa kike wale watoto wake hapana aisee huwa anawapiga hadi na yeye anaanza kulia watoto ni hawasikii. Ila nilivyomchunguza baba yao nikaelewa kwa nini wanae wako vile.
 
Ila hii ipo kweli..nina ndugu yangu wa kike wale watoto wake hapana aisee huwa anawapiga hadi na yeye anaanza kulia watoto ni hawasikii. Ila nilivyomchunguza baba yao nikaelewa kwa nini wanae wako vile.
eeh! mtoto ana pandiwa mbengu utotoni.. inategemea wazazi wamepanda mbegu aina gani.. watoto hawana hatia.. hatia ipo kwa wazazi.. ni vyema sana malaezi ya wazazi katika kimjenga mtoto imara
 
Sasa unakuta mzazi mshenzi mshenzi.. toka mtoto anakua anaona ushenzi na upumbavvu wa wazazi.. unategemea mtoto awaje.. haya mzazi anamjenge mtoto mazingira hatarishi unategemea inakuwaje.. tunashukuru wazazi walikuwa kama makatili ili tulinyooka.. nakumbuka nilikuwa nikizungua.. nafungwa kamba miguuni na mikononi hakuna kula.. 😀😀😀 unakula stick hadi unakomaaa na hupewi chakula. na hapo yoyote alie kuzidi umri akiona unapuyanga anakuunyoosha hatari.. unafikiri kwa hiyo dozi unarudi tena kosa
 
Back
Top Bottom