Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mtoto ukijua anapenda sana vitu gani, unaweza kutumia kama kumrekebisha makosa anayofanya kwa kutompatia hivyo vitu, hio ni adhabu kubwa mno.

Hata shuleni watu waliomba kuchapwa kuliko adhabu.

Mtoto ukimpiga utamtengenezea kutokuwa na confidence na kuwa sugu, na mimi napenda mtoto awe na confidence.

Vitoto vingi ukikachanganya na wenzie ama watu unakuta kamejikunyata utasema kanasikia baridi, hakana confidence kabisa, mtoto akimuona mwalimu hata mtaani anaogopa na kukimbia hovyo, akiona mwalimu anajua ni kipigo tu pasipo hata kosa , ye anajua kazi ya mwalimu ni kuchapa, anaona alipelekwa shule akachapwe.

Lakini kuna namna bora na pia ni elimu pana namna ya kumlea mtoto, vijana huwa wanaishia kusoma namna ya kumkojoza mwanamke kitandani, na kibaya zaidi vijana wa sasa(sisi) hatuna hata muda wa kujifunza namna ya kulea watoto, umekutana na mdada hotelini, mna date, unamleta nyumbani, mimba, kazaa. Unakuwa unajisifia tu "nina mtoto" lakini kwenye malezi 0.

Tena bora sisi kuna hawa wa tiktok ndio hatari zaidi.
mimi mtoto wangu huwa nampa .challenge.support na kum inspire
 
Mtoto akurushie begi usoni adhabuyake nimnyime gari asichezee

Hta malaika watashangaa Kuna makosa ya kukanya kwa style iyo watoto wa sasahiv kwanza wanatukana balaa wew mzazi mwenyew matusi mengine unakuta huyajui yani mapya

Mtoto mzazi akitoka kilio aende nae sehemu zingine sio za kwenda na watoto
Adabu lazima iwepo yani fimbo ni lazima adhabu zingine second option
halafu ukute wa huku kwetu.kwa mama zakaria
 
Mtoto ukijua anapenda sana vitu gani, unaweza kutumia kama kumrekebisha makosa anayofanya kwa kutompatia hivyo vitu, hio ni adhabu kubwa mno.

Hata shuleni watu waliomba kuchapwa kuliko adhabu.

Mtoto ukimpiga utamtengenezea kutokuwa na confidence na kuwa sugu, na mimi napenda mtoto awe na confidence.

Vitoto vingi ukikachanganya na wenzie ama watu unakuta kamejikunyata utasema kanasikia baridi, hakana confidence kabisa, mtoto akimuona mwalimu hata mtaani anaogopa na kukimbia hovyo, akiona mwalimu anajua ni kipigo tu pasipo hata kosa , ye anajua kazi ya mwalimu ni kuchapa, anaona alipelekwa shule akachapwe.

Lakini kuna namna bora na pia ni elimu pana namna ya kumlea mtoto, vijana huwa wanaishia kusoma namna ya kumkojoza mwanamke kitandani, na kibaya zaidi vijana wa sasa(sisi) hatuna hata muda wa kujifunza namna ya kulea watoto, umekutana na mdada hotelini, mna date, unamleta nyumbani, mimba, kazaa. Unakuwa unajisifia tu "nina mtoto" lakini kwenye malezi 0.

Tena bora sisi kuna hawa wa tiktok ndio hatari zaidi.
Inategemea na kosa mkuu, kuna makosa ni fimbo moja kwa moja na mengine sawa unaweza fanya hvyo.

Chukulia mfano wangu wa mwisho hapo juu uone kama hvyo utamnyima nini mtoto.

Pia yes wazazi wengi siku hizi wanaiga mambo mitandaoni mengine ndiyo yanayowapoteza katika malezi.

Mimi mwanangu nitamlea kama nilivyolelewa, ni adhabu tu nitapunguza kiasi kikubwa ila fimbo atakula tu...
 
Mtoto akurushie begi usoni adhabuyake nimnyime gari asichezee

Hta malaika watashangaa Kuna makosa ya kukanya kwa style iyo watoto wa sasahiv kwanza wanatukana balaa wew mzazi mwenyew matusi mengine unakuta huyajui yani mapya

Mtoto mzazi akitoka kilio aende nae sehemu zingine sio za kwenda na watoto
Adabu lazima iwepo yani fimbo ni lazima adhabu zingine second option
Sawa lakini isiwe ndio option pekee kumpiga kila wakati, kuhusu matusi wazazi wengine huwa ndio wanawafundisha "mbwa wewe" n.k. ila kiukweli sisikiagi wazazi wa kiume wakitukana kama wa kike.

Lakini ni jukumu la wazazi wote kumlea mtoto vyema.
 
mimi mtoto wangu huwa nampa .challenge.support na kum inspire
Mm viboko vimeninyoosha

Kwanza mda wa kurudi shule lazima niongeze masaa mawili Yan kucheza njian
Nikapewa mda muda nusu saa baada yakutoka shule niwe nimefika home nikichelewa stick sasahiv Yan sasa naenda na muda balaa
Sema si sikuhiz wanapanda schoolbus

Kosa la pili kugawa vyakula ovyo yani mama apike mm nisiwape rafikizangu chakula aisee sio mm nilikuwa napewa kipigo sasahiv napanga bajeti Hadi ya keshokutwa

La tatu kupika Yan darasa la nne weekend nasonga ugali wa kula watu wanne na kwa muda saa Saba ugali umepikwa mama anapika mboga tu na chakula Cha jion sasa wew cheza had saa nane watu hawajala labda utafute wazee mapema wa kukuombea msamaha

Sasahiv bint anamliza darsa la Saba hajui kutoa chombo alichokula mwenyew chakula aah wew sio mamaangu mm
 
Mm viboko vimeninyoosha

Kwanza mda wa kurudi shule lazima niongeze masaa mawili Yan kucheza njian
Nikapewa mda muda nusu saa baada yakutoka shule niwe nimefika home nikichelewa stick sasahiv Yan sasa naenda na muda balaa
Sema si sikuhiz wanapanda schoolbus

Kosa la pili kugawa vyakula ovyo yani mama apike mm nisiwape rafikizangu chakula aisee sio mm nilikuwa napewa kipigo sasahiv napanga bajeti Hadi ya keshokutwa

La tatu kupika Yan darasa la nne weekend nasonga ugali wa kula watu wanne na kwa muda saa Saba ugali umepikwa mama anapika mboga tu na chakula Cha jion sasa wew cheza had saa nane watu hawajala labda utafute wazee mapema wa kukuombea msamaha

Sasahiv bint anamliza darsa la Saba hajui kutoa chombo alichokula mwenyew chakula aah wew sio mamaangu mm
Aisee
 
Mtoto akurushie begi usoni adhabuyake nimnyime gari asichezee

Hta malaika watashangaa Kuna makosa ya kukanya kwa style iyo watoto wa sasahiv kwanza wanatukana balaa wew mzazi mwenyew matusi mengine unakuta huyajui yani mapya

Mtoto mzazi akitoka kilio aende nae sehemu zingine sio za kwenda na watoto
Adabu lazima iwepo yani fimbo ni lazima adhabu zingine second option
aisee , Kwamba umnyime gari baada ya kupigwa na begi...
 
Mambo kama hayo sasa...

Kuna dogo jirani na ofisi ya Dada nae yuko namna hyo.
Huwa akitoka shule akamkuta Mama yake amekaa na wenzake kwenye mkeka anavua begi anamrushia Mama yake usoni, hapo unakuta begi lake lina takataka tofauti vichuma, vibox, taa mbovu na vingine. Akiwa anaokota hvyo vitu ili kuweka kwa begi nikimkataza Mama yake anasema huyo hawezi kukubali anamuacha.

Akiagizwa kitu anakuja anarusha tu Mama yake anamwambia we Dulla acha lakini hamna hatua anayoichukua ya ziada namuangaliaga tu nasema ngoja akue...
Eti we Dullah acha
 
Back
Top Bottom