Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Umeshakuwa wa mjini mdogo anguImebaki moja
Si nilienda bank bana
Machine zao mbovu wakasingizia kucha zangu ...oh dada tips blah kibao wale..nikakata ukucha na mambo yakawa vile vile.


Umeshakuwa wa mjini mdogo anguImebaki moja
Si nilienda bank bana
Machine zao mbovu wakasingizia kucha zangu ...oh dada tips blah kibao wale..nikakata ukucha na mambo yakawa vile vile.


Kwa kweli, ndiyo maana hadi Uzee huu bado tunaoneana wivu🤪Na unamhudumia vema hadi raha, ndio maana bado anaonekana analipa😅
Kitamu balaaMboga tamu sana ukute kimelala sasa
Mtashinda na kulala njaa leo!Ahh itauma roho jamani
Mungu ni mwema ila
Halafu ukianagalia tabia ya Group D mechi za nyumbani ndo wanashinda , Hakika ushindi ni wetu leo .
😀😀😀😄😄😄 mjukuuu mpenziNgoja nimwite Mjukuu wangu mpenzi Depal aje athibitishe
American underdogSijaiona jamani, naomba niitafute nami nimtumie mtoto wa mama mkwe niboreshe mahabat
Uzi wenyeweWalioweka picha leo wote nawaroga!..![]()


Ooh!!sawaNdiyo sikua mimi Elly
Ahh itauma roho jamani
Mungu ni mwema ila
Halafu ukianagalia tabia ya Group D mechi za nyumbani ndo wanashinda , Hakika ushindi ni wetu leo .

Kha usiseme hivyo rafikiMtashinda na kulala njaa leo!
Mlozi Kaka yangu..😂Uzi wenyewe
Wa mlozi
Unaanzia wapi
Acha ukorofi usije shusha kibusha
Cha mia mbili
Umeshashindikana wewe


Wa mjini wapiUmeshakuwa wa mjini mdogo angu![]()






Mnachezea, hilo halina maswali. Mnawakilishana, sio kuwakilisha nchiKha usiseme hivyo rafiki
Tuombeni mema sie wakilishi wa nchi .


Kitamu balaa
Leo nimekila cha nazi aisee nimedata nimesema siweki karanga tena kwenye kisamvu .

AmenNa kampani niliyonayo ni watu wa Yanga nitakoma
Kabisa Mechi za Nyumbani ndiyo wanashinda.
Naamini ushindi wetu leo
.