Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimeshatoka kitambo babuu vipi nije kukupa kampani tusogeze masaahapo naona upo idle!
Utakuwa umefanya vizuri Mjukuu, manake sisi Wazee hatupaswi kuachwa wapweke muda mrefu 🤪🤪🙈

Kwahiyo nikuagizie nini in advance? Au ukifika nitaku connect na watu wajikoni uagize mwenyewe 🤪

Vinywaji utatumia hizi ngumu za Babu au zako ni soft 🍷
 
Utakuwa umefanya vizuri Mjukuu, manake sisi Wazee hatupaswi kuachwa wapweke muda mrefu

Kwahiyo nikuagizie nini in advance? Au ukifika nitaku connect na watu wajikoni uagize mwenyewe

Vinywaji utatumia hizi ngumu za Babu au zako ni soft
Hahahaaa.. usiwaze nitaagiza nikifika ngoja nijiandae fasta unipe location!
 
Mkisikia kuna mashindano ya kula ugali mnitonye. Sinaga mpinzani!
017385994.jpg
 
Back
Top Bottom