Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,402
Ukimaliza chote hiki angalau kunakuwa na matumaini kidogo
Ukimaliza chote hiki angalau kunakuwa na matumaini kidogo
Afadhali Mjukuu umesema, Mimi ni Babu mwema nisiye na Makuu kama rafiki yangu Lyatonga![]()
Kweli kabisa ushindi wa leo ni muhimu sana ..


Kwa kweli namshukuru, labda kwa kuwa naye huwa namruhusu aende saluni Kila wiki 🤪Jamani bibi anamjali sana babu, ndio maana hadi saivi babu unashine😍
Kwa hiyo nkamu, nikiwa sipo tu ndiyo unapata mood ya kuselfika?abee
Amen .yaani nasali na kusali![]()
Kwa hiyo nkamu, nikiwa sipo tu ndiyo unapata mood ya kuselfika?


Ila Nkamu si ulisema hautokuwepo Usiku lakini
Nakuona dada kucha
NilikimissNkamu kisamvu![]()
Tumeshuka kula mara moja then tunaendelea na safariIla Nkamu si ulisema hautokuwepo Usiku lakini
![]()



Hahahaa hilo halina ubishi babuAfadhali Mjukuu umesema, Mimi ni Babu mwema nisiye na Makuu kama rafiki yangu Lyatonga 🤪🤪
Amen .
Mimi nitafuatilia kwenye uzi kule

Nilikimiss
Nimekula hadi nimevimbiwa
Leo katika pitapita nikaona wanauza.
Tumeshuka kula mara moja then tunaendelea na safari![]()



ila hii safari ya Usiku hii sijui ya wapiKipi kilifanya uhisi hivyo Mkuu?Samahani narudia tena samahani ila siku zote huwa najua wewe ni mwanamke mwee
Na unamhudumia vema hadi raha, ndio maana bado anaonekana analipa😅Kwa kweli namshukuru, labda kwa kuwa naye huwa namruhusu aende saluni Kila wiki 🤪
Imebaki mojaNakuona dada kucha



Halafu basi likiwa linaondoka ndiyo tunaanza "umwambie mama Emma kuwa hicho kitenge ni cha kuvaa tu asishone, halafu na yule jirani yenu blah blah...". Yaani hapo unakimbiza gari na kutoa salamu
Nimesubiri kipoe poe ndio nileMboga tamu sana ukute kimelala sasa
Ahh itauma roho jamanimimi nipo Live kutoka eneo la tukio, nasali tupite la sivyo nyumbani nitapaona mbali sana![]()