Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,561
- 23,991
Sio uchawi, tunawaombea njaa tu!Mmeanza uchawi![]()

Samahani narudia tena samahani ila siku zote huwa najua wewe ni mwanamke mwee


Tuombe MUNGU mrembo wangu,Leo ushindi upoNa kampani niliyonayo ni watu wa Yanga nitakoma
Kabisa Mechi za Nyumbani ndiyo wanashinda.
Naamini ushindi wetu leo
HamshindiAhh itauma roho jamani
Mungu ni mwema ila
Halafu ukianagalia tabia ya Group D mechi za nyumbani ndo wanashinda , Hakika ushindi ni wetu leo .
Ooh!!sawa
Bhasi mwenye hizo lipsi/mdomo mwambie nina/kuna vocha ya elfu tano mtandao wowote ule anaotumia
Muda utaongea rafikiMnachezea, hilo halina maswali. Mnawakilishana, sio kuwakilisha nchi![]()
ShindwaaaaSio uchawi, tunawaombea njaa tu!![]()
Isije kuwa vakasheni yenu ile na hamsemiTumeshuka kula mara moja then tunaendelea na safari![]()

9.8ms squared ananituhumu eti Mimi ni Babu niliyefoji umri, mwambie kuwa nina umri wa age mate wenzangu akina Lyatonga 🤪🤪Kuna habari gani darling babu? 😅
Leo nimekumbukakasema asante ila anaomba akutumie kesho Vocha ya elfu 10 mtandao wowote mpe namna ya kukutumia
Kipi kilifanya uhisi hivyo Mkuu?
Apology accepted
🤣🤣Umeshashindikana wewe
Hizo kucha![]()
Siku weka karangaa kidooogo na Nazi
Unajikuta unakula chakula kingi bila kutegemea
Aiseeeeeeeee!!Leo nimekumbukaView attachment 2174704
Inaonekana nzuriAmerican underdog
Kuna kaujumbe Brenda aliongea, ni noma na nusu.
Mguu wa bia😍Leo nimekumbukaView attachment 2174704
Muda utaongeaHamshindi