Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Kuna clip nimeona mtu anasema sasa wewe huna rafiki mnyaki unategemea nini?
Ukipata sherehe au msiba nani atakusaidia??

Eti zamani walisemaga sherehe ni watu
Waliogopa tu kueneza ukabila tu kwa sababu watu wanaosemwa hapo ni wanyakyusa
Wanyaki ni watu na nusu. Kwenye Sherehe watalia kweli, kwenye shughuli watashughulika haswaa
 
Back
Top Bottom