Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,253
Weee ni huyo tu na mnyaki feki mwenzie Aristotee![]()




Kuna clip nimeona mtu anasema sasa wewe huna rafiki mnyaki unategemea nini?
Ukipata sherehe au msiba nani atakusaidia??
Eti zamani walisemaga sherehe ni watu
Waliogopa tu kueneza ukabila tu kwa sababu watu wanaosemwa hapo ni wanyakyusa







