Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Anza wewe kutupia hapo,naona unakaimu nafasi ya saint anne ya upambe
emoji2.png
emoji2.png
 
Hakuna mwanamke mwenye uwezo wa kumfanya mwanaume kuwa mwaminifu.

Mwanaume anatakiwa kuwa na hofu ya Mungu ili kuwa mwamifu ( heshima ) kwa mke/mpenzi wake.

Hakuna mwaume ambae ni sahihi kwa mwanamke, isipokuwa kuna mwanaume sahihi kwa Mungu ( kama ni sahihi kwa Mungu, atakuwa sahihi kwako ).

Kama mwanaume hana hofu ya Mungu, sahahu kuwa na heshima kwako wewe mwanamke.. Usijdanganye kwamba utambadilisha 😎😎😎

IMG_20220329_180416_edit_14736905953999.jpg


9.8ms squared kwa sasa sehemu flani napata gahawa na wajukuu zangu..
 
Hakuna mwanamke mwenye uwezo wa kumfanya mwanaume kuwa mwaminifu.

Mwanaume anatakiwa kuwa na hofu ya Mungu ili kuwa mwamifu ( heshima ) kwa mke/mpenzi wake.

Hakuna mwaume ambae ni sahihi kwa mwanamke, isipokuwa kuna mwanaume sahihi kwa Mungu ( kama ni sahihi kwa Mungu, atakuwa sahihi kwako ).

Kama mwanaume hana hofu ya Mungu, sahahu kuwa na heshima kwako wewe mwanamke.. Usijdanganye kwamba utambadilisha 😎😎😎

View attachment 2168434

9.8ms squared kwa sasa sehemu flani napata gahawa na wajukuu zangu..
Thank you.
 
Hakuna mwanamke mwenye uwezo wa kumfanya mwanaume kuwa mwaminifu.

Mwanaume anatakiwa kuwa na hofu ya Mungu ili kuwa mwamifu ( heshima ) kwa mke/mpenzi wake.

Hakuna mwaume ambae ni sahihi kwa mwanamke, isipokuwa kuna mwanaume sahihi kwa Mungu ( kama ni sahihi kwa Mungu, atakuwa sahihi kwako ).

Kama mwanaume hana hofu ya Mungu, sahahu kuwa na heshima kwako wewe mwanamke.. Usijdanganye kwamba utambadilisha 😎😎😎

View attachment 2168434

9.8ms squared kwa sasa sehemu flani napata gahawa na wajukuu zangu..
Hii comment umeandika kwa uchungu mpendwa itakuwa kimekukuta kitu pole sana
 
Fortnox Bro.. leo nimepata hasira sana.. kuna sehemu niliingia nimekaa nakula zangu cigar yangu... kidogo akaja dogo mmoja.. katulia pale mnene kama mie Hi tu, kila mtu biashara yake.. kutoka dogo ana chuma hiyo dah! Nikarudi ndani kwanza kufanya hesabu zangu vizuri na kujiuliza nafanya mie kijana wa hovyo hovyo hapa duniani.. why nipo nyuma ya mdaa.. tena namba DY....

Shimba Ya Buyenze

chombo ilikuwa kama hii.. kitu peruuu
2022-lincoln-navigator-reserve-110-1629153516.jpg
 
Back
Top Bottom