Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Ugali situmii sana
Labda wali ndo natumia sana sema huwa najitahidi nile mapema kama saa moja na nusu hivi hadi mbili .
Sawa
Ugali situmii sana
Labda wali ndo natumia sana sema huwa najitahidi nile mapema kama saa moja na nusu hivi hadi mbili .
Ukioa na majaribu ndio yanaongezeka shetani bwana

Haleluya binti Abiud
UmesemaKwenda zako. Hatuna vishundu na tunapost![]()



Nimeshindikana Kila siku🤣🤣Umesema
Kushindikana umeanza lini![]()
HakikaNyie nawaona.. View attachment 2166962
😂😂😂😂Kwenda zako. Hatuna vishundu na tunapost🤣🤣🤣
Mzungu pyuaaView attachment 2167112
[mention]Saint Anne [/mention] picha haiko clear sana,huwa ni nyingi sema sio ndefu ...

Unacheka nini sasa?Haya
Hata mimi naona![]()
Vipi braza?Haki
Wewe huyu
![]()
UlivyoshindikanaUnacheka nini sasa?
Nipo kwa boda yangu, nakurekodia hapa
Unatumia nini kupata appetite?
Mbona mimi nashindwa kula sana![]()

