Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna wengine wakiwa na stress, ndiyo wanakula sana. Ila naamini kutokula kunapunguza uzito, hata kama utabaki kibonge
Siri chakula na sipendi kula.. ila ukija kwenye weight utashangaaa.. na hapo ndio hata nikiendaga fanya checkup huwa wana shangaa.. ka mwili hamna kitu wala mafuta ila wait kama chuma cha pua 😀😀😀 nahisi kuna zaido ya hayo
 
Siri chakula na sipendi kula.. ila ukija kwenye weight utashangaaa.. na hapo ndio hata nikiendaga fanya checkup huwa wana shangaa.. ka mwili hamna kitu wala mafuta ila wait kama chuma cha pua 😀😀😀 nahisi kuna zaido ya hayo
Ndiyo wale mnaitwaga "mna mifupa mizito sijui". Unene wa ndani kwa ndani. Ila jitahidi ule mdogo angu🤣🤣
 
Back
Top Bottom