Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ngoja niokoteze zilizopo kwa phone nami nichangie huu uzi leo. View attachment 2167039View attachment 2167040View attachment 2167041View attachment 2167042
20220322_092235.jpg
 
View attachment 2167027
hili hapa Nkamu.

loweka miguu nkamu fanya hiyo process kwa mwezi utuletee mrejesho.

viatu ni bora zaidi kuliko socks, ila mtu akishindwa viatu avae socks kuliko kutembea peku

socks mimi huwa napenda nikipaka mafuta miguu ibaki na unyevunyevu muda mrefu so inasaidia hata kuondoa sugu za vidole ….hasa sisi wenye miguu mikubwa viatu huwa vinatutoa sugu sana.
Ewaaa

Ngoja sasa niongeze na scrub kwenye kaparachute kangu


Nkamu nielekeze na ya uso.
Tangu joto limezidi uso wangu umekuwa na mafuta
Dark spots kibao...unakeraaa
IMG_20220328_154337_522.jpg
 
mie sanasana ni mazoezi na diet pia kuna dawa ya masai nilipewa.... nilipunguza sana kula vyakula vya wanga kwa wingi pia Usiku siku nyingine Nilikua nalalia ndizi mbivu tu zinakata sana mafuta siku nyingine mboga za majani sana na Siku nyingine mlo nakula matunda matunda tu matunda mix...
.sema sasa njaa nilikua nasikia kila mara muda mwingine nikisikia njaa nakula chakua kiduchu sana ivoivo!!

umefanya kwa muda gani?

Hivi huwa hakuna dawa za kukata apetite? mimi kula napenda
 
Back
Top Bottom