Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Share tips plz umefanyeje, mimi nakaribia 100
mie sanasana ni mazoezi na diet pia kuna dawa ya masai nilipewa.... nilipunguza sana kula vyakula vya wanga kwa wingi pia Usiku siku nyingine Nilikua nalalia ndizi mbivu tu zinakata sana mafuta siku nyingine mboga za majani sana na Siku nyingine mlo nakula matunda matunda tu matunda mix...
.sema sasa njaa nilikua nasikia kila mara muda mwingine nikisikia njaa nakula chakua kiduchu sana ivoivo!!
 
Nataka nione sasa lile kopo la hiyo scrub.

Najitahidi sana kusugua kama ulivyosema japo bado sijafikia ule ulaini ninaohitaji.
Pia nilikuwa situmii scrub..natumia mafuta ya nazi tu.

Sipekui popote..kabisa.
Nina viatu vyangu navaa ndani
Ila kuvaa socks kwangu ni mtihani..siwezi kabisa.

IMG_2819.jpg

hili hapa Nkamu.

loweka miguu nkamu fanya hiyo process kwa mwezi utuletee mrejesho.

viatu ni bora zaidi kuliko socks, ila mtu akishindwa viatu avae socks kuliko kutembea peku

socks mimi huwa napenda nikipaka mafuta miguu ibaki na unyevunyevu muda mrefu so inasaidia hata kuondoa sugu za vidole ….hasa sisi wenye miguu mikubwa viatu huwa vinatutoa sugu sana.
 
View attachment 2167027
hili hapa Nkamu.

loweka miguu nkamu fanya hiyo process kwa mwezi utuletee mrejesho.

viatu ni bora zaidi kuliko socks, ila mtu akishindwa viatu avae socks kuliko kutembea peku

socks mimi huwa napenda nikipaka mafuta miguu ibaki na unyevunyevu muda mrefu so inasaidia hata kuondoa sugu za vidole ….hasa sisi wenye miguu mikubwa viatu huwa vinatutoa sugu sana.
Ahsante Cha urembo

Naomba ukiwa free tupe darsa sasa la scrub ya mwili mzima. Skin- care routine yako kwa ujumla
 
Back
Top Bottom