Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

yaani naipenda ngoja iishe tu nisiinunue tena kuna moja nimeinunua juzi juzi nimejuta hela yangu.

Hiyo versace Dylan Blue sijawahi ijaribu.


sawa ngoja nitatupia

kulainisha nyayo fanya mara tatu kwa week na iwe jioni au usiku unaenda kulala.

kulainisha nyayo unachukua maji ya moto unaweka chumvi unaloweka miguu for ten minutes, ukimaliza unachukua msasa unajisugua… unajisafisha unachukua scrub …mimi natumia Tunu Scrub unajiscrub ukimaliza unasafisha unapaka mafuta ya nazi unavaa socks unalala.

siku ambazo haujiscrub miguu ukioga paka tu mafuta ya nazi kwenye nyayo vaa socks na kamwe usitembee peku ndani vaa slippers.

Nkamu si umeelewa
Nataka nione sasa lile kopo la hiyo scrub.

Najitahidi sana kusugua kama ulivyosema japo bado sijafikia ule ulaini ninaohitaji.
Pia nilikuwa situmii scrub..natumia mafuta ya nazi tu.

Sipekui popote..kabisa.
Nina viatu vyangu navaa ndani
Ila kuvaa socks kwangu ni mtihani..siwezi kabisa.
 
IMG_7996.jpg

Utengule
IMG_8015.jpg

Life is Supa Guda with Grand Malt
 
Tafuta Socks kama ni mpenzi wa peku.

kwanini unavua ni virefu au

Unaweza ukaona mbona ni sawa tu ila nilivyoacha kutembea peku mabadiliko ni makubwa.
Socks mpaka baridi lije ndiyo naziweza

Virefu wapi? Basi tu mazoea, mfano leo nimevaa mossimo, na hapa nimeivua…

Nina indoor slippers ila kuzivaa sasa!!

Emu nijaribu, maana mambo ya kumkwarua mtoto wa mama mkwe na miguu sio sawa 🤣
 
Back
Top Bottom