Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Kumbe haujui halafu ukawaza tu mawazo mabayaSijui
Hata ni kitu gani
Na kwanini nifanyiwe![]()

Kumbe haujui halafu ukawaza tu mawazo mabayaSijui
Hata ni kitu gani
Na kwanini nifanyiwe![]()

Lately sijapiga picha full maana hakuna wa kunipiga .Hakuna kapicha uvopungua nione!!??
mie pia sikuhizi nimepungua sana!! Nafanya mazoezi na diet walau naona vinanisaidia
Naona chombo imetulia wazee wa english figure.. 😁😁😁
Mie sasa nanenepa hadi tumbo!!sitaki tumbo tyuuh.
Hahahaha Tumbo linakera ,sitaki tumbo tyuuh.
Wanakuambia live au text ?kwa kweli shouzzzzzzzz wee acha tyuuh.
Hapo sasa umesema kweli.Hahahaha Tumbo linakera ,
Baki na umodo wako ila sasa tengeneza kashape .



Tumbo tutatumia la kwangu😁😁sitaki tumbo tyuuh.
Naona chombo imetulia wazee wa english figure..![]()

kitu roho inapendaNimepunguza almost 8 kilos! Nilikua naelekea kupasuka aiseeLately sijapiga picha full maana hakuna wa kunipiga .
Kupungua kuna raha yake bhana , hongera kwa kupunguza kilo ... Vipi umejua umepunguza kilo ngapi ... Endeleza mazoezi tu wewe
Yes familyFamily![]()

🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wanakuambia live au text ?
Umeona sasa Mabinti Abiudi ndo wanaojenga nao familiaFamily![]()