Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,385
Hadi ufike uendapo na kurudi; aaah utaitwa sanaNdio , nimecheka tu jamani .
Hahaha makonda wa huku wana maneno jamani
Hadi ufike uendapo na kurudi; aaah utaitwa sanaNdio , nimecheka tu jamani .
Hahaha makonda wa huku wana maneno jamani
Dogo kaupiga mwingi sana kaahh!nilikua busy busy kidogoHii ni user name mpyaaaa
Endeleeni kutoa suggestions
Boss wangu umechelewa kitu kilikua live hapa Saint Anne kachukua zotee
CCM oyeeWanayanga mpo vizuri aisee
Binti Zuma wewe😂😂 binti Abiud
Ulikua una solve yale ma quadratic equation🙆♂️Dogo kaupiga mwingi sana kaahh!nilikua busy busy kidogo
🤗🤗 roho yangu nyeupee.. hapa speed ya kuingia cash inaongezeka na utafutaji inaongezeka your my inspiration 😍😍😍😍😍Thanks kwa misifa unayonipa basi bichwaa limevimba😬
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huwa natumia zangu tu
Shindikanaa mmoja 🤣🤣Binti Zuma wewe
Hahahaha!!wala nilikua nimelala hapa mmeamka njaa inauma afu sasa nawaza kukaa jikoni!hii jeuri ya kutokua na binti mbona inanikomesha[emoji10]Ulikua una solve yale ma quadratic equation[emoji2297]
Poleee
Nimesimamisha mchuma hapo dodoma haupo online nilikutag kabisa [emoji4]Dogo kaupiga mwingi sana kaahh!nilikua busy busy kidogo
Avatar mpyaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dom sehemu gani?!![emoji28][emoji28][emoji28]Nimesimamisha mchuma hapo dodoma haupo online [emoji4]
Toto hilo [emoji7][emoji7][emoji7][emoji8][emoji8][emoji8]Nyie nawaona.. View attachment 2166962
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeona sasa mnavyowachanganya watu.
Juzi mlisema tunavaa kama mama Rwakatare utadhani tuna msiba.
Bora mimi niliyeshikilia msimamo wangu jeshi la mtu mmoja siyumbi hata msemaje.
Hahahahah!!!!vimeisha poa kabisaa!!Eeh.. Ticha.. vipindi vimeisha salama.. leo naanza fundisha Complex number. [emoji41][emoji41]
Sure Kuna picha nilikutag mida flani saa tano ebu Rudi post za juu utaionaDom sehemu gani?!![emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sugulia mkaa [emoji1787]
Unayajua meno ya kiarusha lakini?? Unakuta dada pisi kali ila akicheka sasa weee[emoji41]
Yaani rangi za watu hivi tunazivalia njugaHadi ufike uendapo na kurudi; aaah utaitwa sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahSipingi [emoji1787]
Kuna muda nayaonaga mazuri..
Ila usiombe ukanikuta nimevurugwa, yanakuwa makali.
Scandal nilipenda wakati nanunua
Nilipofika nayo nyumbani mambo yakawa tofauti[emoji19]
Kuna hii Versace Dylan blue[emoji91]
Vitu vya scrub hivi,,kulainisha mikono,miguu
Uliweka nkamu