Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Hadi ufike uendapo na kurudi; aaah utaitwa sanaNdio , nimecheka tu jamani .
Hahaha makonda wa huku wana maneno jamani
Hadi ufike uendapo na kurudi; aaah utaitwa sanaNdio , nimecheka tu jamani .
Hahaha makonda wa huku wana maneno jamani
Dogo kaupiga mwingi sana kaahh!nilikua busy busy kidogoHii ni user name mpyaaaa
Endeleeni kutoa suggestions
Boss wangu umechelewa kitu kilikua live hapa Saint Anne kachukua zotee
CCM oyeeWanayanga mpo vizuri aisee
Binti Zuma wewe😂😂 binti Abiud
Ulikua una solve yale ma quadratic equation🙆♂️Dogo kaupiga mwingi sana kaahh!nilikua busy busy kidogo
🤗🤗 roho yangu nyeupee.. hapa speed ya kuingia cash inaongezeka na utafutaji inaongezeka your my inspiration 😍😍😍😍😍Thanks kwa misifa unayonipa basi bichwaa limevimba😬
Shindikanaa mmoja 🤣🤣Binti Zuma wewe
Hahahaha!!wala nilikua nimelala hapa mmeamka njaa inauma afu sasa nawaza kukaa jikoni!hii jeuri ya kutokua na binti mbona inanikomeshaUlikua una solve yale ma quadratic equation
Poleee

Nimesimamisha mchuma hapo dodoma haupo online nilikutag kabisaDogo kaupiga mwingi sana kaahh!nilikua busy busy kidogo

Avatar mpyaaa
Umeona sasa mnavyowachanganya watu.
Juzi mlisema tunavaa kama mama Rwakatare utadhani tuna msiba.
Bora mimi niliyeshikilia msimamo wangu jeshi la mtu mmoja siyumbi hata msemaje.









Hahahahah!!!!vimeisha poa kabisaa!!Eeh.. Ticha.. vipindi vimeisha salama.. leo naanza fundisha Complex number.![]()
Sure Kuna picha nilikutag mida flani saa tano ebu Rudi post za juu utaionaDom sehemu gani?!!![]()
Sugulia mkaa
Unayajua meno ya kiarusha lakini?? Unakuta dada pisi kali ila akicheka sasa weee![]()







Yaani rangi za watu hivi tunazivalia njugaHadi ufike uendapo na kurudi; aaah utaitwa sana
Sipingi![]()
Kuna muda nayaonaga mazuri..
Ila usiombe ukanikuta nimevurugwa, yanakuwa makali.




khaaaahScandal nilipenda wakati nanunua
Nilipofika nayo nyumbani mambo yakawa tofauti
Kuna hii Versace Dylan blue
Vitu vya scrub hivi,,kulainisha mikono,miguu
Uliweka nkamu
