cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
Nulikua naboreka mie, sitaki hata kukumbuka yaanMambo ya kukalishana hostel mnaishi kama wafungwa
Nulikua naboreka mie, sitaki hata kukumbuka yaanMambo ya kukalishana hostel mnaishi kama wafungwa
HiiNa lile jua linapiga kama tupo jehanamu hivi.
Au unauza barafu kimara.
Mama JTupe moja ya kulalia
wee sema kweli.
ilimradi mnapendana, baki tu hapo my wangu .Baba J 👋Mama J
Na mimi nipo huko.
Ila competition kubwa mno..tumekuwa weengi.
Kupata abiria ni hadi kuvizia kwenye daladala.


Yaan wee acha tyuuh mwayaaa.Eeh pole mwaya ulikaaa muda mrefu hivyo ..
Mimi nilienda boarding kuanzia darasa la tatu hivyo nilivyomaliza form four nikasema imetosha high school ikabidi niende zangu day .



Nasubir muongozo wakesMambo yake tumuachie mwenyewe!!









Ooh sawa dearYaan wee acha tyuuh mwayaaa.![]()
Hapana Mimi siwezi hizoo nshafeli kabisaaUkiweza hapo,, fanya cardio exercise za kutosha
Yaap both wameanza na five years mi muoga sana ujue nataka adolescence iwakute chuoo huku chini wasijue kitu wasome seminary za masista tuuu!!wakalanduke na course work hukoooKheeeh alianza shule mapema mnoo? 11yrs drs la 7?
Oooh alianza na 5yrs
Atazoea tu hahahaa!!!alinambia mama Dada akimaliza nihamishe pale siwezi kusoma mwenyewe hvyo mwakani anaingia la 5 ntamuhamisha!!Well namuonea huruma huyo mdogo ila atazoea tu jamani , Hakika matazoea ndo safari ya masomo inaanza hapo ..
Well ni mdogo so ataanza form one na miaka 12 ,shule hizo zipo vizuri hakika ataweza .
Ooh vyema nimependa hii bora wawahi tu .Yaap both wameanza na five years mi muoga sana ujue nataka adolescence iwakute chuoo huku chini wasijue kitu wasome seminary za masista tuuu!!wakalanduke na course work hukooo
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Hahahaha!!mlosoma shule za jeshi mlipata taabu Sana'a!!!Mnaongea mambo ya shule
Nimemiss kukimbia smart area
Nimemiss kunawishwa uso na matron’s.. asione kauso kanameremeta utaenda kunawa umrudie unachuruzika maji
Kuvaa misoksi kama referee
Yule afande alikuwa akisema ‘ haya haya haya parediiiiii… msauti ule mpk posta watu wanaweza kusikia![]()
Ndevu za Mwanaume zilee
Usijali next week nitapita Ile njia, nitakununulia na kukutumia kwenye basi 🤪🤪Siyo wewe ndiyo unitumie maparachichi na mchele supa?