cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
Hahahha upo nusu nusu eeh ?
Love's a beautiful thing , just enjoy dear .





nipo kati kati.Hahahha upo nusu nusu eeh ?
Love's a beautiful thing , just enjoy dear .





nipo kati kati.Hofyoooo 🤣🤣🥰
Kelele na weweYaani myumbe nyie afu mje kumzingua madam Algebra🤣🤣🤣🤣
Ni kweli yaan.Day pazuri sana Bina
Mimi nakumbuka nilivyokuwa nakaa day nilikuwa nafanya vizuri kuliko nlivyokaa hostel
Shos leo huselfiki??? mchana nilipitwa na selfii yako wakati nilikua hapahapa doh!!Ni kweli yaan.
Day ina raha yake piaMuache day awe mjanja bhana.![]()

Nilitoka Church, nikapita mahali kupunga upepoMie nipo mama Abiud, huo mtoko wa wapi?![]()


Tulia dogoYaani myumbe nyie afu mje kumzingua madam Algebra🤣🤣🤣🤣
Mambo ya kukalishana hostel mnaishi kama wafungwaNi kweli yaan.
Khaaaa jamani 🤣
Kati kati pazuri pia , wewe baki hapo tu .nipo kati kati.


Tupe moja ya kulaliaZa Church zinatosha sasa wajameni, itakua jpil kwa jpil ndo kuselfika za church....
Zitaanza casual![]()
Daaaah leo siselfiki bhana had kesho usiku.Shos leo huselfiki??? mchana nilipitwa na selfii yako wakati nilikua hapahapa doh!!
Nilipenda sana kusoma day, ila sasa nilikosa bahat, nkaangukia boarding 6yrs lol.Day ina raha yake pia
Mnatembea weh mji mzima huu
Mimi nashukuru day imenifundisha kugombania mabus la sivyo ningekuwa nasimama kila siku .





Ooooh kumbe hapo sawa.Nilitoka Church, nikapita mahali kupunga upepo![]()

