Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,226
Snapchat 😉😋
Inajuaga kututoa
Snapchat 😉😋
Lips hapo nimefunga mdomo deardea umeficha lips mmh
Aah wapiDay ina raha yake pia
Mnatembea weh mji mzima huu
Mimi nashukuru day imenifundisha kugombania mabus la sivyo ningekuwa nasimama kila siku .


Yaap both wameanza na five years mi muoga sana ujue nataka adolescence iwakute chuoo huku chini wasijue kitu wasome seminary za masista tuuu!!wakalanduke na course work hukooo
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app





nimecheka mno yaan. Uwiiiih.Ouyeaaaaah.Ooh sawa dear
Na upara kama wa Le Profeseli 😀😀😀.. nahisi uzeeni nitakuwa mkuda sanaaaaNdevu za Mwanaume zilee
Acha tu , tunakuwa warembo ..live sasaSnapchat![]()
Inajuaga kututoa

Hata kuachia kamdomo ama ka jicho kijanaa?
biutifoooo!!!✋✋✋✌️✌️✌️
Mbagala napaelewaAah wapi
Njoo uishi mbagala
Ndio utajua hujui![]()
.Halafu we sikusomi,hebu selfika na unitagSelfika rafiki
Hako kadomo kametokea vibaya ile mbayaHata kuachia kamdomo ama ka jicho kijanaa?
Bora kuwahi ila nayo changamoto wanakua na utoto mwingi mnoo!Ooh vyema nimependa hii bora wawahi tu .



yaani akili zao sasa bora huyu mkubwa mkimyaa !ila huyu wa pili mpk walimu wanasema kaahh!!kana utoto mwingi kushtaki mda wote,kulia, kulalamika hakuna mwl asomjua




ikabdi niende shule niongee na walimu nkawaambia huyu ana 7yrs tu hapo yuko std 3 wakasema daahh!ndo maana basi anabehave kitoto siye tunajua tunadeal na mtu mkubwa




wakaanza kumtreat according to her age akaanza kupenda shuel




!!!Thank youbiutifoooo!!!![]()
