Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Ameen kipenzi!karibu mji mpya wa kiserikaliasante, Nipo poa now Mungu ni mwema
Ooh Asante kwa ufafanuzi ila watakuwa sawa tu kadri muda unavyozidi kwenda ,stay strong.Bora kuwahi ila nayo changamoto wanakua na utoto mwingi mnoo!yaani akili zao sasa bora huyu mkubwa mkimyaa !ila huyu wa pili mpk walimu wanasema kaahh!!kana utoto mwingi kushtaki mda wote,kulia, kulalamika hakuna mwl asomjua
Mwaka Jana alinambia mama mi kusoma baasi sitaki,kisa hasemi,nikamlazimisha akawa anajifanya mgonjwa sasa ikabidi ntumie mbinu kumuulizia kama walimu shuleni wakoje akanambia wakali wanapiga balaa...kumbe anaogopa fimbooikabdi niende shule niongee na walimu nkawaambia huyu ana 7yrs tu hapo yuko std 3 wakasema daahh!ndo maana basi anabehave kitoto siye tunajua tunadeal na mtu mkubwa
wakaanza kumtreat according to her age akaanza kupenda shuel
!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Mmh vipi
Umependezajeee lol!! ka mfanyiwa kichen party vile lol!✌️✌️✌️View attachment 2166423
Kuna hii pia.. uwa ina kama ka sunflower/ kajua flani hivi 🤣
Mbagala napaelewa
Aisee hujaniona nikiwa zangu kituoni nasubiria gari.


Kwa adha niliyoipata sitaki mwanangu apate aseehDay ina raha yake pia
Mnatembea weh mji mzima huu
Mimi nashukuru day imenifundisha kugombania mabus la sivyo ningekuwa nasimama kila siku .



Super imran,pedestrians team Temeke,Ipembe kwa team mwenge!!!weee sina hamu na hivi vitoto vitafeli tuBeautiful

Weee!!hongera sana asehh!wakishua au vipajii nyieNilipenda sana kusoma day, ila sasa nilikosa bahat, nkaangukia boarding 6yrs lol.![]()
Siku ya ndoa hii?



🤣🤣🤣🤣🤣🤣😜😜😜😜😜!Siku ya ndoa hii?![]()
Survival of fittest

Leo ameficha lips!!Unaziba mno
Sehemu muhimu
Bora kuwahi ila nayo changamoto wanakua na utoto mwingi mnoo!yaani akili zao sasa bora huyu mkubwa mkimyaa !ila huyu wa pili mpk walimu wanasema kaahh!!kana utoto mwingi kushtaki mda wote,kulia, kulalamika hakuna mwl asomjua
Mwaka Jana alinambia mama mi kusoma baasi sitaki,kisa hasemi,nikamlazimisha akawa anajifanya mgonjwa sasa ikabidi ntumie mbinu kumuulizia kama walimu shuleni wakoje akanambia wakali wanapiga balaa...kumbe anaogopa fimbooikabdi niende shule niongee na walimu nkawaambia huyu ana 7yrs tu hapo yuko std 3 wakasema daahh!ndo maana basi anabehave kitoto siye tunajua tunadeal na mtu mkubwa
wakaanza kumtreat according to her age akaanza kupenda shuel
!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app








khaaaaahKweli tena ujue chuo kufaulu utakw kufeli utake,waende vyuoni wakieta ujinga wakila sup 3 mwaka wa kwanzanimecheka mno yaan. Uwiiiih.





ile first semester watakaa sawa ila huku chini ngoja nikomae kidogo maana huko sitaweza kuwachungaMpk naziogopa snap chatAcha tu , tunakuwa warembo ..live sasa
Hii filter naipenda balaa , haijawahi kunikataaa


zinanifanya niwe kama kamdolii😀😀 nakwambiaUmependezajeee lol!! ka mfanyiwa kichen party vile lol!✌️✌️✌️
Katukosea sanaLeo ameficha lips!!