Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Bora kuwahi ila nayo changamoto wanakua na utoto mwingi mnoo![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]yaani akili zao sasa bora huyu mkubwa mkimyaa !ila huyu wa pili mpk walimu wanasema kaahh!!kana utoto mwingi kushtaki mda wote,kulia, kulalamika hakuna mwl asomjua

Mwaka Jana alinambia mama mi kusoma baasi sitaki,kisa hasemi,nikamlazimisha akawa anajifanya mgonjwa sasa ikabidi ntumie mbinu kumuulizia kama walimu shuleni wakoje akanambia wakali wanapiga balaa...kumbe anaogopa fimboo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ikabdi niende shule niongee na walimu nkawaambia huyu ana 7yrs tu hapo yuko std 3 wakasema daahh!ndo maana basi anabehave kitoto siye tunajua tunadeal na mtu mkubwa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]wakaanza kumtreat according to her age akaanza kupenda shuel[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1]!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Ooh Asante kwa ufafanuzi ila watakuwa sawa tu kadri muda unavyozidi kwenda ,stay strong.
 
Day ina raha yake pia
Mnatembea weh mji mzima huu [emoji1787]
Mimi nashukuru day imenifundisha kugombania mabus la sivyo ningekuwa nasimama kila siku .
Kwa adha niliyoipata sitaki mwanangu apate aseeh[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Super imran,pedestrians team Temeke,Ipembe kwa team mwenge!!!weee sina hamu na hivi vitoto vitafeli tu

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Bora kuwahi ila nayo changamoto wanakua na utoto mwingi mnoo![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]yaani akili zao sasa bora huyu mkubwa mkimyaa !ila huyu wa pili mpk walimu wanasema kaahh!!kana utoto mwingi kushtaki mda wote,kulia, kulalamika hakuna mwl asomjua

Mwaka Jana alinambia mama mi kusoma baasi sitaki,kisa hasemi,nikamlazimisha akawa anajifanya mgonjwa sasa ikabidi ntumie mbinu kumuulizia kama walimu shuleni wakoje akanambia wakali wanapiga balaa...kumbe anaogopa fimboo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ikabdi niende shule niongee na walimu nkawaambia huyu ana 7yrs tu hapo yuko std 3 wakasema daahh!ndo maana basi anabehave kitoto siye tunajua tunadeal na mtu mkubwa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]wakaanza kumtreat according to her age akaanza kupenda shuel[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1]!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mno yaan. Uwiiiih.
Kweli tena ujue chuo kufaulu utakw kufeli utake,waende vyuoni wakieta ujinga wakila sup 3 mwaka wa kwanza[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ile first semester watakaa sawa ila huku chini ngoja nikomae kidogo maana huko sitaweza kuwachunga

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom