Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
😀😀😀 ulisema upo misungwi eeh.. njoo hata hapa tukutane dodoma ili twende pamoja usihofu hakuna kimasiaharaNitajie mahali nakuja mwenyewe 😬
😀😀😀 ulisema upo misungwi eeh.. njoo hata hapa tukutane dodoma ili twende pamoja usihofu hakuna kimasiaharaNitajie mahali nakuja mwenyewe 😬
Ukifika tu nishtue; huwa napiga deiwaka humo ndaniOna sasa 🙂🙂.. kesho basi mchana ukuje utanikuta kabisa getini leo nimekuja Dar kushangaa vishundu vya wa dar es salaam
🙄🙄🙄🙄.. nakutazama tuUkifika tu nishtue; huwa napiga deiwaka humo ndani
Nami nakuangalia tu🤓🤓🙄🙄🙄🙄.. nakutazama tu
Wow!!!🙌🏾🙌🏾🙌🏾Inabidi nije kuomba darasa kwa aliyetengeneza 🙂Hiyo pita ni home made lizzy
Hii kimasihara mbona una itajataja mmh kwa kweli nimegaili na hivi kumetulia hivyo hapo hata nikipiga kelele hakuna Msaada😬😀😀😀 ulisema upo misungwi eeh.. njoo hata hapa tukutane dodoma ili twende pamoja usihofu hakuna kimasiahara
😀😀😀 hamna hayo mambo bwanaaa.. acha hayo mawazoo.. hapa upepo safiii hamna masihara.. dhambi hivyoo.. hapa utakuwa mikono salamaaa kabisa.. hadi tumalize zile process ndio tule tunda 😁😁😁Hii kimasihara mbona una itajataja mmh kwa kweli nimegaili na hivi kumetulia hivyo hapo hata nikipiga kelele hakuna Msaada😬
karibu sana mkuu.. unakaribishwa kwa mikono miwiliNikikaribishwa nitakaribia
Ahsantekaribu sana mkuu.. unakaribishwa kwa mikono miwili
😂😂kengele ya hatari imelia kwenye fuvu la kichwa😬hebu aje kwanza Tinsley akirudi nami nitafuata😂😂😂😀😀😀 hamna hayo mambo bwanaaa.. acha hayo mawazoo.. hapa upepo safiii hamna masihara.. dhambi hivyoo.. hapa utakuwa mikono salamaaa kabisa.. hadi tumalize zile process ndio tule tunda 😁😁😁View attachment 2166132
sasa hivi sisubiri wana JF ni mabingwa wa kugandisha hao.. unaweza subiri hadi Yesu akarudi ila mwana Jf asitokeeee


😀😀😀😀 mje hata wote.. mie sio baharia.. mje niwafundishe na kuwindaaa mta enjoy sana.. wala hakutokuwa na threesome wala masihara😂😂kengele ya hatari imelia kwenye fuvu la kichwa😬hebu aje kwanza@Tinsely akirudi nami nitafuata😂😂😂
ulisema upo misungwi eeh.. njoo hata hapa tukutane dodoma ili twende pamoja usihofu hakuna kimasiahara


Hii kimasihara mbona una itajataja mmh kwa kweli nimegaili na hivi kumetulia hivyo hapo hata nikipiga kelele hakuna Msaada![]()



tena inawezekana yupo na mabaharia wenzake...😂😂Sentensi ya mwisho umeharibu kabisa hutokaa upate mgeni![]()
Kwa kweli best ukifika tu ni ......😂😂😂tena inawezekana yupo na mabaharia wenzake...
Jamani mie mtu wa ustawi wa jamii msiwe na hofu na mie huku ni amani teleeeSentensi ya mwisho umeharibu kabisa hutokaa upate mgeni![]()
mje hata wote.. mie sio baharia.. mje niwafundishe na kuwindaaa mta enjoy sana.. wala hakutokuwa na threesome wala masihara


Hahakengele ya hatari imelia kwenye fuvu la kichwa
hebu aje kwanza Tinsley akirudi nami nitafuata
![]()
..