Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wana bisha hapa jukwaani ila ukweli kwenye fikra zao ......
Si ndio hapo sasa! Hapa wanasema tu tusisikilize maneno ya watu halafu wakiwa huko wanaambiana hakuna kuoa mwanamke asiye bikira which means hawa wasio na bikira kwao ni takataka na hawafai kuolewa kana kwamba hizo bikira zilitoka zenyewe!
 
Tatizo ni wanaume wote mko na hiyo mitazamo! Ukitaka kuamini uliza kama kuna mwanaume ambaye yuko tayari kuoa au kuwa na mahusiano serious na mwanamke aliyejaza coaster!
Sio wanaume wote. hapo ndio unapo chemka.. Kila palipo na kibaya kuna kizuri.. huu mtazamo wako na una haki ya kuwaza hivyo.. hut popote palipo na kibaya kuna kizuri.. mapenzi mahusiono ni spiritual zaidi ya mwilini.. ila mwilini ndio kuna maneno ya ajabu ajabu kuna wanawake ambao wanaoneka hawajatulia ndio wameolewa na walio tulia bado wapo bila bila
 
Kwanini jamii ndiyo isiache kuwa na mitazamo ya ajabu? Hauwezi kumuambia mtu don't give a damn halafu at the same time unamnyooshea vidole!
Nooooooo,,, kama hutabadilika wewe kwanza,,, uanze kutumia nguvu kubwa changing the society goodluck with dat,,, before rearranging the society,,, know how to make your own bed first
 
Back
Top Bottom