Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Utamwambia azitupie tu hapa getiniSawa, Kuna mtu anakuja huko nitamwagiza akuletee
Utamwambia azitupie tu hapa getiniSawa, Kuna mtu anakuja huko nitamwagiza akuletee
Kwani ulishatoka Mjini DSM?Utamwambia azitupie tu hapa getini
Nimetumia kipimo cha 5.7
Ukiona picha zangu unaweza dhani mimi mfupi
kuanzia rangi ya kucha hadi nguo !Najua kwenye harusi ya Saint Anne utasimamia shoo kuanzia ukuchani hadi unyweleni kichwani!!Rangi ipi boss lady jamani? Ngoja nianze kuzihudumia; chawa wako Anne kaninyanyasa sana na rangi zake![]()
mpaka rangi za kumbi zote!Unadhani kifupi hicho?Nimetumia kipimo cha 5.7

Mimi tena mama shughuli🤣🤣kuanzia rangi ya kucha hadi nguo !Najua kwenye harusi ya Saint Anne utasimamia shoo kuanzia ukuchani hadi unyweleni kichwani!!mpaka rangi za kumbi zote!
Hilo halina upinzanikuanzia rangi ya kucha hadi nguo !Najua kwenye harusi ya Saint Anne utasimamia shoo kuanzia ukuchani hadi unyweleni kichwani!!![]()

Ila chonde chonde usije nivarisha rangi ile ya Orange iliyokoleaMimi tena mama shughuli![]()
Hiyo jeuri unatolea wapi?Hilo halina upinzani
Shemeji yake alishampitisha kitambo.
Labda Mimi tu nimkazie![]()
Yaaani wewe huna mpinzani humukama kawaida yako![]()
![]()


Daslama ndio wapi tena jamaniKwani ulishatoka Mjini DSM?
Jiandae; kuna rangi nitazifanyia majaribio kwakoIla chonde chonde usije nivarisha rangi ile ya Orange iliyokolea
Isiwe tu Orange haki ya naniJiandae; kuna rangi nitazifanyia majaribio kwako




Thanks a lot!karibu sana.. uzuri bosi ledi hana makuu
![]()
Nani kasema Pep??

Jiandae; kuna rangi nitazifanyia majaribio kwako

Dah kapteni unafeli wapi?Thanks a lot!
Tatizo nikiwa spare tyre najua lazima tu nitapelekwa jela.
Kuna movie hapa nilikua naicheki inaitwa deep water hebu itafute, yupo Ben Afleck, jamaa alikua ananyatia michepuko ya mkewe anaua kimya kimya, achana chezea mapenzi.. Yanauma ati