Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Msema kweli ni mpenzi wa MunguSijazoe kusema uongo
Msema kweli ni mpenzi wa MunguSijazoe kusema uongo
DuhKuna michepuko pia inayohonga waume za watu. Kuna michepuko inatoa connections za maana kwa mume; utajua haujui

Ndiyo nimekuja sasanjoo utoe risala mama malezi.
Eeeh wifi
Nakusubiri, Kuna mapaja yote mawili yanakungoja 🙊🤪Nyama haina shida....😁😁
On my way 🏃🏾♀️🏃🏾♀️
Akija kuzipata usirudi kujiliza; tutakuchamba hadi uwe mfupi 🤣🤣🤣Kaka enu mwenyewe hana hela nimuache?![]()
Basi huyo tutampeleka tu wet n wild!!!akaogelee!!safari ndefu tutalii wenyeweBado chalii safari ndefu hawezi anakaa na bibi


Waja mmeanza hahaaMrs LyatongaView attachment 2163097
Kwani kuchunwa dhambi?!!Nakubali mwamba piga kazi leo Haww mabinti humu wametamka wazi wapo katika kutaka kutuchuna tu![]()


!!!hakichuni unampa?!!maana asili ya ke ni kupewa tu kila kitu!!Kuna mtu kaniahidi atanifundisha namsubiriKuna habari humu ndani?maana naona sijui Mme wa mtu,sijui kuchepuka,Mara ndoa na iheshimiwe na watu wote, Mara kuifinyia staili ya zamani
haya nipeni mpya miyee nyie vijana!
Alete hapa au akiileta baasi aunde group na miye bibi nisipitwe nimdhibiti vzr bepariKuna mtu kaniahidi atanifundisha namsubiri
Ila nimemuuliza kuifinyia kwa ndani ndo kufanyaje hajanipa jibu wew unajua 😬Alete hapa au akiileta baasi aunde group na miye bibi nisipitwe nimdhibiti vzr bepari
Jamaniii nikionaga watoto huwa nachanganikiwa kabisa Mungu nipe na Mimi kamoja beautiful baby😍❤️I'm in love with my last born View attachment 2163103