Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Naogopa Mimi hua naongea nao friendly bado hajawa mkubwa ila siku akiwa mkubwa naona ntalia Mimi I swear maana anaingia12 but ana mwili mkubwa na dalili za kiutu uzima zimeanza.
Yaani naomba Mungu anipe ujasiri Mimi ni bingwa wa ushauri nasaha kwa watoto wa madada zangu ,Dada plus friends ila kwangu mwenyewe sijui itakuaje
Muombe Mungu juu ya hilo then kila kitu kitaenda sawa tu . Kama upo nao close hivyo basi ni hatua nzuri ya malezi .
You're a great job Mama ,usiwaze
 
Stand by your man
Give him two arms to cling to
And something warm to come to
When nights are cold and lonely
Stand by your man
And show the world you love him
Keep giving all the love you can
Stand by your man
Yote hayo nitafanya
Aamue tu kujitoa ufahamu mwenyewe.
Na siku atajayojitia utaahira basi huko nje lazima wamnyoshe.
 
20220324_192215.jpg
 
Back
Top Bottom