Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Maisha ni kutafuta pamojawatu mnapenda ndugu zenu

Kama unamuacha basi muache Kwa sababu zingine tu ila siyo hiyo
Maisha ni kutafuta pamojawatu mnapenda ndugu zenu

Unfortunately sio mumeHuwa hatushauri
Kuacha mume
Wako huyo komaa nae
Nikikuhitaji chap kwa haraka
Ewaaa







Bajeti yako tafadhaliAliyeko Dodoma anifahamishe Lodge nzuri ya bei rahisi!![]()
Ulimwengu uko busy kutafuta pesa ckuhz,, haudeal na watoto walioshindikanaMuda wa kupigana vita sina
Asiyetaka kufunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Byurifuuu

Eti eh?Ulimwengu uko busy kutafuta pesa ckuhz,, haudeal na watoto walioshindikana
Yeeeeeey 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾Umeona hapa nakutengenezea tu pesa Malaika View attachment 2163232
@Lizzy I miss you my friendYeeeeeey
Nasubiria kwa hamu![]()

Niko hapa chini nimekaa
Beautiful 😍 ka mwili perfect 🤩Depalhaya mambo ya kanisani haya ushindwe mwenyewe
Bila kuwasahau wifi zangu wotewakiongozwa na Saint AnnieView attachment 2163244View attachment 2163245
View attachment 2163246
Kazi kwetu mabinti Abiud.Depalhaya mambo ya kanisani haya ushindwe mwenyewe
Bila kuwasahau wifi zangu wotewakiongozwa na Saint AnnieView attachment 2163244View attachment 2163245View attachment 2163246
Nakuona binti AbiudBeautifulka mwili perfect
![]()
Na fundi unae aisee, anajua kukupendezesha. Hizo ulizochanganyia umetumia kitambaa material gani?



tukifikisha hela ya kuchukua hii ndio nakuruhusu sasa uitoe yoote bank 😀😀😀Yeeeeeey 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Nasubiria kwa hamu 🙂
Niko hapa nachukua desa la mishono 🤣🤣🤣
Dada Saint Anne si ni ulinwengu huu huu wa vijana wanaoheshimu madanga ya wake zao??Eti eh?
Basi sawa
Engineer soma hyo
Sawa nimekusikia wifi,nimekaa kwa kutuliaMaisha ni kutafuta pamoja
Kama unamuacha basi muache Kwa sababu zingine tu ila siyo hiyo