Yaani mtu akuweke mchepuko,halafu mtumie hela zako!utakuwa wendawazimu huu..
Ukiwa mchepuko siyo hela ya vocha tu!; inatakiwa hata sauti tu unayoongea neno moja ilipiwe
hivi hamjui adhaa wanazo zipata baada ya kutuchuna πππ.. tunawaharibu sanaaaa.. Mungu atusamehe.. kule hela mtazila ila uharibifu tunao waachia ni mkubwa kuliko pesa...