Selfika na JF: Snap it. Show it

Mhaya mi kwani nina majivuno ya Kihaya? Umeshaniona najisifia ndinga kali, elimu, pisi kali au kuwa na pesa humu?

Mi Msukuma mshamba mlima nyanya na dengu wa huku Misungwi tu.

Nikumbushe kesho nitakuwekea mjukuu. Picha hazipo kwenye simu kwa sasa
Kumbe wale ndugu zangu wanajisifia hayo mambo ni wahaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…