Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Bado upo mpendwa
ndio naelekea kwa bed hiviπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈ
 
Fj cruiser kama gari ya vitani, muonekano wake upo kikazi sana haitabasamu kama RR.. downgrade uende kwenye G-wagon
Ni kagari kazuri kwa kweli. Nilikanunua 0KM na nimeshakasukuma masafa ya kila aina. Hakina tatizo lo lote. Sema wameshaacha kuvitengeneza ningekula mchicha kwa miezi kadhaa ninunue kengine kapya nije nako kutanulia. Nadhani viko vichache huko. Unaimarisha tu suspension kidogo masafa ya kutoka Dar - Usukumani kinafika aisee. Nilishawahi kukasukuma kutoka Georgia - New York na kugeuza mpaka California - Utah na kurudi Georgia bila ishu yo yote...na kanatazamika...na kako juu kidogo...
 
Back
Top Bottom