Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,406
Utawahi?Kwa kweli
Ngoja tukanyonyeshe watoto![]()
Utawahi?Kwa kweli
Ngoja tukanyonyeshe watoto![]()
Nimetupia nyingi leo ipi hiyo inayosifiwa nitupie tena🥰Kuna picha yako imenipita nifanyie wepesi mpendwa. Inasifiwa sana. Leo nilikuwa na bahati sana hapa...iendeleze bahati hiyo pulizi
Emu rudi apa mlongoo
NasubiriaNimetupia nyingi leo ipi hiyo inayosifiwa nitupie tena![]()
Leo nina bahati. Mpaka mjukuu nimemuona japo haonekani...uko vizuri mjukuu
😂😂Acha uwongo basi sema ukanyonyeshe mkubwa😎Kwa kweli
Ngoja tukanyonyeshe watoto🤸🏻♀️
Kwa vile sijaona yo yote siwezi kujua. Unaonaje tu ukizitupia zote?Nimetupia nyingi leo ipi hiyo inayosifiwa nitupie tena![]()
Kabisa yani ! muda wenu huu Jiachie I mtakavyooo🤸🤸🤸♥️😘Leo ladies free tumetoroka we Linda tuu
Bosi Ledi mama la mama bado upo? Utatupia kakulalia bosi wangu au ndo ushapumzika mazima?Tanteeee!! DeepPond hii ndio selfika yetu sasa!!!
Kuwahi tena? Si hapo tu kitandani kwake namfata 😁Utawahi?
Acha tu ila najua why!!yaan wee bhana lol.

Utawahi as in kuwa na mtoto?Kuwahi tena? Si hapo tu kitandani kwake namfata![]()
Naenda nyonyesha mtoto😂😂Acha uwongo basi sema ukanyonyeshe mkubwa😎
Bosi Ledi mama la mama bado upo? Utatupia kakulalia bosi wangu au ndo ushapumzika mazima?
UwiiiiihHa ha ha.....
Aah wapi
Huamini au?Utawahi as in kuwa na mtoto?