Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Nampiga fix😂😂😂Abeeee
Namuitikia Shangazi Abiud HS
Sema na mtindi ulikuwaga mkubwa
Ule mwili ulikopotelea hata sielewi.
Nampiga fix😂😂😂Abeeee
Namuitikia Shangazi Abiud HS
Mwee hivi na mimi naombwa na watu niwapunguzie,dunia hii
Ntapunguza nini sasa?
Subiri binamu nirudishe mwili..ntakugawia..
Lile Tako nilikuwa nalo form 5,,lakuvalia suruali na chenji ilibaki.








Kasoro mimi nina flat🤣Wacha weeeeh!wanyaki wote mna mashunduu jamanii!mwee
Ingenoga zaidi ingekuwa mnashtukiza kidogo mnaselfika huku tunasogoa. Tusijikite sana kwenye kusogoa. Mzee wa Msata alitambika uzi uwe wa kuselfika jamaniMambo yao tuwaachie wenyewe. Yasikuumize kichwa!!



Dah dogo 😂😂😂Yanajam
Em ninyonyeshe ka beb girl kangu 🤸🏻♀️🏃♀️🏃♀️View attachment 2161080
Wewe kinakushinda nini kujishtukiza?Ingenoga zaidi ingekuwa mnashtukiza kidogo mnaselfika huku tunasogoa. Tusijikite sana kwenye kusogoa. Mzee wa Msata alitambika uzi uwe wa kuselfika jamani![]()
Mwenyew naenda kulala now.Basi ngoja nikalale tena sasa!
Picha zile za leo zimebadili kabisa kila kitu. Wanyaki Mungu Aliwapendelea sana!Kasoro mimi nina flat![]()
🤣🤣🤣🤣Ingenoga zaidi ingekuwa mnashtukiza kidogo mnaselfika huku tunasogoa. Tusijikite sana kwenye kusogoa. Mzee wa Msata alitambika uzi uwe wa kuselfika jamani![]()
13!??????Dah dogo 😂😂😂
Maziwa kama ndio unagonga thetini🏃🏾♀️
Kadogooo
😀 Fj cruiser kama gari ya vitani, muonekano wake upo kikazi sana haitabasamu kama RR.. downgrade uende kwenye G-wagon 😬😬RR parefu sana aisee...Hata mkweche huu niliona nataka ku-downgrade![]()
Wancheka eeehhh!Kasoro mimi nina flat![]()
Ingenoga zaidi ingekuwa mnashtukiza kidogo mnaselfika huku tunasogoa. Tusijikite sana kwenye kusogoa. Mzee wa Msata alitambika uzi uwe wa kuselfika jamani![]()




V Ina nini?Kumbe unafaa kupelek.... namna hii, bora nimekesha leo! Ulisema una miguu ya V? Basi nanyamaza![]()
Una balaa lako mtoto mzuri,Mungu kakujalia mpaka lakupungizia wengine.
Pole sana.. siku ingine unamcheki tu Fortnox mnatembea safi. huku unabadili mikao.. wish si uliugua kabisa.. alafu namchezo sana wa kuchukua vichwa CBE hadi kuna siku nikaoata abiria wa kudumu 😀😀😀nlipanda wish dom to dar sinaga hamu,kwanza mkurya yule muoga wa road balaa!yaani kutoka saa mbili asubuhi cbe dar tumeingia 12 jioni mweehh!nilichukia mnoo!maana lengo kupanda gari ndogo niwahi nkajikuta nachelewa bora ningeamsha na shabiby tu