Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilikuwa barabarani uliporusha ile ya mwanzo fasta nikatafuta sehemu nikapaki isinipite. Polisi kaja kaniuliza are you OK nikamjibu I am OK officer huku moyoni najisemea ofisa boya naye huyu. Hata hajui kuwa Bosi Ledi huku keshashusha mambo. Rahaa!

Huko majuu ukipark tyuuh police anakufata kukuuliza kwan?
 
Back
Top Bottom