Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Harusi gani ina code 1? Wamebugi hapo

Kuna harusi nimetoka kuhudhuria mwanzoni mwa mwezi huu, Lavender ilikuwa mojawapo ya code.
Bridesmaid na groomsmen walivaa lavender na walipendeza.
Kumbembe sisi wananchi waalikwa
Zilikuwa rangi 3 ila naona karibia nusu tulikumbilia maroon

Kuna rangi ukiziangalia unakosa mpk mshono
 
Yea,tunatofautiana sana!
Na inategemea unavaa unaenda wapi pia!
Sie wa church fresh!
Na pia huwezi vaa nguo za aina moja kila siku ,km za kubana,(tight,shift nk) kuna wakati unasikia tu kuwa huru hutamani nguo ikushike km hivi tu!
Ulipendeza sana
Na rangi yako inakubali hiyo nguo dear


Mshono wako nimeupenda..natamani niuone kwa mbele.
Pia unywele huo
Aisee...weka ya karibu tuone huo unywele mama.
 
Asante dear
Nimeona lavender mmeielewa ....
Ukiona mbele ndo utaipenda! Ila ni ya church tu...
Mi napenda kudesign mwenyewe ila sijui kushonakwahiyo nikipata styl nampa fundi ananishonea nachotaka!
Byurifuuu
Dada nigawie nywele.

Aiseee umependeza mno


Tuone na kwa mbele hilo gauni nimelipenda.
Nidese mshono huo wa kutokelezea church
 
One-of-my-favorites.jpg
Nimecheka sana
 
Back
Top Bottom