cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,168
Harusi gani ina code 1? Wamebugi hapo
Kuna harusi nimetoka kuhudhuria mwanzoni mwa mwezi huu, Lavender ilikuwa mojawapo ya code.
Bridesmaid na groomsmen walivaa lavender na walipendeza.
Kumbembe sisi wananchi waalikwa
Zilikuwa rangi 3 ila naona karibia nusu tulikumbilia maroon
Kuna rangi ukiziangalia unakosa mpk mshono







Ulipendeza sanaYea,tunatofautiana sana!
Na inategemea unavaa unaenda wapi pia!
Sie wa church fresh!
Na pia huwezi vaa nguo za aina moja kila siku ,km za kubana,(tight,shift nk) kuna wakati unasikia tu kuwa huru hutamani nguo ikushike km hivi tu!![]()



Boss lediiiiii mjengoniGood morning wana selfika!
Picha za cm ya tecno sio macho 3Ulipendeza sana
Na rangi yako inakubali hiyo nguo dear
Mshono wako nimeupenda..natamani niuone kwa mbele.
Pia unywele huo
Aisee...weka ya karibu tuone huo unywele mama.
hakuna namnaYes,gangilonga,sunset hotel!Sio Iringa hapa?![]()
Hizohizo dearPicha za cm ya tecno sio macho 3hakuna namna
Tatizo picha za karibu mpk nifiche uso kwanza,wait
ByurifuuuAsante dear
Nimeona lavender mmeielewa ....
Ukiona mbele ndo utaipenda! Ila ni ya church tu...
Mi napenda kudesign mwenyewe ila sijui kushonakwahiyo nikipata styl nampa fundi ananishonea nachotaka!










Uwiiiiiiih had minyooo imesisimka hapa yaan lol,




Habari za iringa hapo Ni sun set eeeh gangilonga
Ooooh hapo sawa.Yes,gangilonga,sunset hotel!
Mabinti AbiudiMbele uliko sema kuzuri sana sijapata picha yake clear…
Una nywele aisee
Yan hapa tumejaa church ladies, we tumwagie tu dizain mbali mbali za mishono tuibie ibie dear.




Poleeeeeeee,,,,,,,,Uwiiiiiiih had minyooo imesisimka hapa yaan lol,
Mate yanavuja tyuuh![]()
Shos nakutafuta kuleMic u shouzzzzzzzz ake![]()
Nakujaaaaah shouzzzzzzzz ake.Shos nakutafuta kule