Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Sio yeye jamani, nimeiba tu picha ya watu huko duniani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyo hapo kwa picha,![]()
Sio yeye jamani, nimeiba tu picha ya watu huko duniani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyo hapo kwa picha,![]()
Kumbe hilo ,Ni lile deni ambalo kila nikikutaka utimize unasema "siku nyingine"
Aisee Mimi sio photogenic kabisa. Ni wale wa kupiga picha 30 afu nzuri inatoka moja.Heaven Sent nikiamka uniite nije kuona hizo stunning photos
Hapa ndani photogenic mshafika wawili sasa.
Liz na Hs, wengine tuendelee tu kupiga picha za kiAbiud
Sio yeye jamani, nimeiba tu picha ya watu huko duniani![]()





khaaah wee, uwiiiiihWeeehh sio kwahilo pozi.. mtu alivyoshikwa akashikika sasa!!...mmeendana kinoma noma pia mmependezaSio yeye jamani, nimeiba tu picha ya watu huko duniani![]()

mimi au wewe aliyepotea?Umepotea sana
Shouzzzzzzzz hili vazi mbna km afisa wa kitengo fulani cha juu.Kazi iendeleee!!View attachment 2160211






La kawaida tu rafiki .Na ulivyo na jicho flan sasaa..
Tena hapo walikua mwanzoni mwa ndoa, huoni Pete ilivyokaa kimpya mpya, ila mama mchungaji kapata kitu full package, atake nn tena? UwiiiiiiihWeeehh sio kwahilo pozi.. mtu alivyoshikwa akashikika sasa!!...mmeendana kinoma noma pia mmependeza![]()





Boss lady hiyo blazer fanya tu unitumie huku nilipo. Afu ukija kui-rerock tena, valia shati/blouse ya rangi moja then kaonane na mama Samiah sasa kwenye ile meeting yenu. Ila usisahau kunitumia hiyo blazerKazi iendeleee!!View attachment 2160211
kapuku tu mie shos!!!! Hivi leo ushaselfika kweli wewe??Shouzzzzzzzz hili vazi mbna km afisa wa kitengo fulani cha juu.
Kwa kutoka official, sikuwezi yaan.![]()
Yaan hilo vazi kajua kupigilia penyewee.Boss lady hiyo blazer fanya tu unitumie huku nilipo. Afu ukija kui-rerock tena, valia shati/blouse ya rangi moja then koanane na mama Samiah sasa kwenye ile meeting yenu. Ila usisahau kunitumia hiyo blazer



Kapuku wapi wee, ila vazi hilo shouz hapana umetisha sanaaa yaanHaha
kapuku tu mie shos!!!! Hivi leo ushaselfika kweli wewe??




🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Sante sana fashionist ma mchungaji... Will do that...kwa kupangilia tu hujawahi niangusha kabisa!!!!✌️😘Boss lady hiyo blazer fanya tu unitumie huku nilipo. Afu ukija kui-rerock tena, valia shati/blouse ya rangi moja then koanane na mama Samiah sasa kwenye ile meeting yenu. Ila usisahau kunitumia hiyo blazer
Huoni guu la bia na binti ni mweupe? Ni vile siwezi tu post picha yao fullkhaaah wee, uwiiiiih
Utafikiri ana kikao na mama SamiaYaan hilo vazi kajua kupigilia penyewee.![]()
Mdojolela ni nini??🙄🙄Ni mdojolela au kande?![]()