cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Sema tu umri umenitupa mkono vinginevyoAaahahahahahaaaa babu Simbaaa
Nakisubiria kwa hamu![]()



Pole mkuuKokastiki
Kafanya nisione mambo mazuri
Huku![]()
Una wazimu wee, sio bureee wallah hivi, msieeew.Kokastiki
Kafanya nisione mambo mazuri
Huku![]()
Naamini kakata kiwi kabisaaaaa
Kiwi cha macho......
Bibi naomba nione kidigo na mie, uwiiiii fanya fanya basAaahahahahahaaaa babu Simbaaa
Nakisubiria kwa hamu![]()



Akithutha wenzie twalaaa
Kasie kasie kasie...Ni chakula kizuri cha ubongo...
Fikra zinabadilika kwa muda...
Na wakati mwingine utashi unashinda nafsi..
Maamuzi yanapitishwa na yanafanyika pasipo bodi kukaa...
Hapana chezea kiwi cha macho...
Food for Thought.
Nisuse wapi? Hiyo ni mbinu tu vitani. Fake retreat ili adui ajue kuwa unakimbia kumbe ndiyo unamvuta mtegoni kwa shambulio kali la kushtukiza....
Chonya!
Mwana Chilonwa aliyekishinda kiwi cha macho!![]()
Ulikua unampa mizagamuo akakosa vitu vitamu hapa😄😄huyo mwanaume mwenzenu ana tatzo gan kwan?
Asome hapa kwa kurudia kutwa mara tatu kwa muda wa wiki 2....