Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Kadogoooo
Shepu sasa huku nyuma mzigoooo






Tumbo sijaona vizuri
Ila huyu dada ana roho nzuri mno


Atairudia tu ile ya kiuno


Kadogoooo










Najua shem. Hapa tunataniana na kucheka tu basi...kasoro huyo mla senene. Nammaindi kishenzi basi tu. Bado kakwama mkoani au keshatia kambi? Kama namuona vileNataka urudi kwenye ukoo wa Babinza
![]()














mla senene wangu hawezi huyu amefika na miye mmefika Kigoma mwisho wa leri,hvyo tumefikishana...!!Mimi kurudi hukoo babinza na engwasii sahau tenaa!!!








!!!hapa najiandaa kwenda MisenyiBina reymage nilisema mimi huyu dada ana roho nzuriFor you my one and only wizo! usitoke

















Kuna tapeli amenipigia simu
Kweli maisha ni magumu mtaani
Sasa sijui anataka kunitapeli nini wakati hela sina.
Nimemsikiliza weee Hadi mwisho nikamwambia asihangaike sana mimi hela sina.





halotel ndo Sanaa na airtel kidogo una bahati hujatukanwa wana matusi balaaDogo umepotea sanaaaWakunyumba oyeeeeeeeee
Wee!!hongera sana kwa kijana wetu...I love her! Ngoja akija bongo akapige goti kule bariadi KwanzaaNikifika home nitakufafanulia maana ya majina haya na muktadha wake.
Mpwa ilibidi ajifunze ili aweze kuongea na bibi yake kwa sababu bibi alikuwa hajui lugha nyingine. Mpwa alikazana mpaka wakawa wanaelewana kabisa hata kusimuliana hadithi za Kisukuma, kuimbiana nyimbo na michapo mingine...

sijui ataweza na kule michembaa!!!Ninayo basi sina kwa leoAhsante best
Nipoze na selfie basii
Wamenitukanahalotel ndo Sanaa na airtel kidogo una bahati hujatukanwa wana matusi balaa
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app



















Pole ulikua wapi na chuo mmefunga?!Nimepitwaaaah
Hongera mamiii

Warureeeeeee 🤸🏻♀️🤸🏻♀️😘😘😘
HahaaaaUtatuua na pressure
Nusu nivunje mguu nawahi selfie ya mrembo Tinsley
Ona kababy face haka jamani chaaaa































Mguu una uvungu mzuri
Tayariiiii mlongo.
🤣🤣🤣🤣🤣 wanataka uwarudishie capital yao waliotumia kuongea na weweWamenitukana
Wao wamekuja kwa gia ya biashara.
Na mimi nimeenda nao hadi mwsho..
Kama saa zima naongea nao
Huyu anasema mpigie huyu mwambie hivi?na mm nafata maelekezo hivyohivyo..anasema mpigie tena mwambie hivi
Hivyohivyo nafata
Wakajua wameniokota kweli
Sasa mwishoni nilikuwa nimemuweka conference rafiki yangu anasikiliza
Akaangua kicheko
Wakasikia
Akawaambia sasa mnataka kumuibia dada jamani
Weee mmoja ameporomosha matusi..mwingine anasema basi naombeni hata hela ya vocha jamani
Kumbe wamekaa wote sehemu moja
Tukamwambia mwenzio ametutukana ?tungekupa..anasema ngoja nimwambie awaombe msamaha jamani..mnipe angalau ya vocha tu![]()
Uko sawa sana.
Dada uchawa na upapasi unauweza uko vzrAnayebisha afanye kama anajikuna
Anyoshe kidole
Yutong ya bosi ledi kama mlima loleza limefunika uzi mzima..hakuna mtu anaona ndani
Hata yule dada mshepu wanamsifiaga humu haoni ndani
Huyu ndiye boss ledi sasa tunayemjua sisi![]()



















mweehh