Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Najua shem. Hapa tunataniana na kucheka tu basi...kasoro huyo mla senene. Nammaindi kishenzi basi tu. Bado kakwama mkoani au keshatia kambi? Kama namuona vile [emoji51][emoji51][emoji51] Nataka urudi kwenye ukoo wa Babinza [emoji2221][emoji2221][emoji2221]
[emoji56][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji3][emoji3]mla senene wangu hawezi huyu amefika na miye mmefika Kigoma mwisho wa leri,hvyo tumefikishana...!!Mimi kurudi hukoo babinza na engwasii sahau tenaa!!![emoji23][emoji23][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!!hapa najiandaa kwenda Misenyi

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Kuna tapeli amenipigia simu
Kweli maisha ni magumu mtaani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa sijui anataka kunitapeli nini wakati hela sina.

Nimemsikiliza weee Hadi mwisho nikamwambia asihangaike sana mimi hela sina.
[emoji16][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]halotel ndo Sanaa na airtel kidogo una bahati hujatukanwa wana matusi balaa

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Nikifika home nitakufafanulia maana ya majina haya na muktadha wake.

Mpwa ilibidi ajifunze ili aweze kuongea na bibi yake kwa sababu bibi alikuwa hajui lugha nyingine. Mpwa alikazana mpaka wakawa wanaelewana kabisa hata kusimuliana hadithi za Kisukuma, kuimbiana nyimbo na michapo mingine...
Wee!!hongera sana kwa kijana wetu...I love her! Ngoja akija bongo akapige goti kule bariadi Kwanzaa[emoji2][emoji2]sijui ataweza na kule michembaa!!!

Hahaha!!shemu una kamusi ya kisukuma eehhh!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
[emoji16][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]halotel ndo Sanaa na airtel kidogo una bahati hujatukanwa wana matusi balaa

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Wamenitukana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wao wamekuja kwa gia ya biashara.
Na mimi nimeenda nao hadi mwsho..
Kama saa zima naongea nao


Huyu anasema mpigie huyu mwambie hivi?na mm nafata maelekezo hivyohivyo..anasema mpigie tena mwambie hivi
Hivyohivyo nafata
Wakajua wameniokota kweli


Sasa mwishoni nilikuwa nimemuweka conference rafiki yangu anasikiliza
Akaangua kicheko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakasikia
Akawaambia sasa mnataka kumuibia dada jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Weee mmoja ameporomosha matusi..mwingine anasema basi naombeni hata hela ya vocha jamani

Kumbe wamekaa wote sehemu moja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tukamwambia mwenzio ametutukana tungekupa..anasema ngoja nimwambie awaombe msamaha jamani..mnipe angalau ya vocha tu[emoji1787]
 
Niliweka hii hapa wii
Saint Anne smile increases face value [emoji12]View attachment 2155812
Ona kababy face haka jamani chaaaa[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Kweli value ya uso wa bosss ledi ni iko juu [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Utadhani una 20 yaani hako kauso[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji108][emoji108][emoji108][emoji16]
Aloooooo


Hakuna kama boss ledi[emoji119]
Nimeconclude hivyo ..no way[emoji91]
 
Wamenitukana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wao wamekuja kwa gia ya biashara.
Na mimi nimeenda nao hadi mwsho..
Kama saa zima naongea nao


Huyu anasema mpigie huyu mwambie hivi?na mm nafata maelekezo hivyohivyo..anasema mpigie tena mwambie hivi
Hivyohivyo nafata
Wakajua wameniokota kweli


Sasa mwishoni nilikuwa nimemuweka conference rafiki yangu anasikiliza
Akaangua kicheko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakasikia
Akawaambia sasa mnataka kumuibia dada jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Weee mmoja ameporomosha matusi..mwingine anasema basi naombeni hata hela ya vocha jamani

Kumbe wamekaa wote sehemu moja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tukamwambia mwenzio ametutukana ?tungekupa..anasema ngoja nimwambie awaombe msamaha jamani..mnipe angalau ya vocha tu[emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣 wanataka uwarudishie capital yao waliotumia kuongea na wewe
 
Anayebisha afanye kama anajikuna
Anyoshe kidole

Yutong ya bosi ledi kama mlima loleza limefunika uzi mzima..hakuna mtu anaona ndani
Hata yule dada mshepu wanamsifiaga humu haoni ndani


Huyu ndiye boss ledi sasa tunayemjua sisi[emoji91]
Dada uchawa na upapasi unauweza uko vzr[emoji119][emoji119][emoji119][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2]mweehh

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom