Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Burekifasti
20220318_091708.jpg
 
Kuna tapeli amenipigia simu
Kweli maisha ni magumu mtaani
Sasa sijui anataka kunitapeli nini wakati hela sina.

Nimemsikiliza weee Hadi mwisho nikamwambia asihangaike sana mimi hela sina.
Unabahati hajakutolea lugha mbaya mimi kuna mmoja alinipigia simu ana lalamika amekosea namba ameweka pesa kwenye Account yangu nikiwa namsikiliza ghafla nikashangaa ana nitukana why simjibu😬
 
Unabahati mimi kuna mmoja alinipigia simu ana lalamika amekosea namba ameweka pesa kwenye Account yangu nikiwa namsikiliza ghafla nikashangaa ana nitukana why simjibu

Mimi nilikuwa namjibu hadi mwisho

Namuuliza nani,?
Kanitajia jina hata silijui..
Namuuliza ndio nani anasema hunikumbuki?
Mimi ni Fulani Fulani

Nikaona nimsikilize,
Anauliza Niko wapi nikamtajia.
Anasema yeye yuko mahala fulani,anafanya kazi huko na kampuni gani sijui ..anatafuta mashine..
Hizo machine Mbeya wanauza bei rahisi kwahiyo amenipa dili ili tupige Hela..
Ataniunganisha na mtu,huyo anaziuza mashine...nimpigie aniuzie halafu kwenye risiti aandike hela pungufuinayobaki juu tunagawana.
Nikipiga nimwambie kaka Daudi amenipa namba

Anauliza nikutajie namba??
Nikamwambia nitumie kwenye msg..
Akatuma,akapiga Tena
Haki ya nani nimecheka Mimi.
 

Mimi nilikuwa namjibu hadi mwisho

Namuuliza nani,?
Kanitajia jina hata silijui..
Namuuliza ndio nani anasema hunikumbuki?
Mimi ni Fulani Fulani

Nikaona nimsikilize,
Anauliza Niko wapi nikamtajia.
Anasema yeye yuko mahala fulani,anafanya kazi huko na kampuni gani sijui ..anatafuta mashine..
Hizo machine Mbeya wanauza bei rahisi kwahiyo amenipa dili ili tupige Hela..
Ataniunganisha na mtu,huyo anaziuza mashine...nimpigie aniuzie halafu kwenye risiti aandike hela pungufuinayobaki juu tunagawana.
Nikipiga nimwambie kaka Daudi amenipa namba

Anauliza nikutajie namba??
Nikamwambia nitumie kwenye msg..
Akatuma,akapiga Tena
Haki ya nani nimecheka Mimi.
😂😂 wajinga sana kwa roho gani akupe dili hakujui mimi huwa najiuliza huwa wanapata wapi namba
 
IMG_20220318_175602_620.jpg

Ni jukumu letu sote kuendelea kukumbushana umuhimu wa kuwa na afya njema Kwa watu wa Rika lote. Though msisitizo zaidi uendelee kutolewa Kwa vijana wanaochipukia.

Unapokuwa unaugua mara kwa mara huathiri kipato chako pamoja na kuathiri shughuli zako za maendeleo Kwa ujumla, kwani itakulazimu kuhudhuria kazini mara chache wakati muda mwingi ukitumia hospitali kujiuguza.

Sio HIV tu bali hata maradhi mengine pia yachukuliwe Kwa uzito unaostahili hasa Pressure, Kisukari, Moyo, Saratani n.k hasa kwa sisi Wazee🙊

God is good all the time 🙏🙏🙏🙏
 
anaejua dawa ya Ulcers hata ya kienyeji yaani kwa mwezi haipiti mara mbili lazima nikachomwe sindano
Pole kwa unayopitia,hope utakuwa sawa..
Mimi nimeumwa sana nilifika hatua nikaingizwa mpira wa camera mara nne...
Walichukua kinyama tumboni wakakituma maabara Nairobi na baadae nilianza tiba ila sikupona pia.
Nilikua sina raha ya maisha,pesa napata ila siwezi kula ninachokipenda...
Ni Mungu tu ndio anajua niliyopitia siwez hata simulia,kila dawa nilitumia
Nili blend makabichi..
Nili blend viazi mbatata..
Nili blend bamia
Habat soda
Dawa za kienyeji
Helgo kit zaidi ya mara 8
Madawa ya kisuna. .
Kifupi nimekunywa madawa mengi sana.

Ila kuna msamaria humu humu jf aliniambia atanipa dawa kama nikipona nitamlipa, nisipopona bhasi(ila alianza kunidai hata sijamaliza dozi ).
Ilikua ni ghali ila naamini ndio iliponya japo baada ya kupima nilionekana niko sawa ila kuna vyakula nilikua bado naogopa kula. Mfano dagaa,maharage,pilau,limao,ndimu,machungwa,nanasi n.k
Nashukuru Mungu sasa hivi nimepona nakula kila kitu, japo kuna vingine sili nimevichukia kabisaa...

Cha msingi hata bia sasa nakunywa.

Kwa kweli nilijaribu kugundua ameweka nini kwenye ile dawa niliambulia ni asali ya nyuki ndogo na mdalasini,vingine sikuweza kufaham na aligoma kunifundisha,kama angelinifundisha hakika kila anayeumwa nami ningemfundisha bure mana najua khali wanazopitia.

By the way hio asali na mdalasini imesaidia kuwapa nafuu baadhi ya watu ambao nimekua najua wanaumwa vidonda vya tumbo lakin hawakupona kabisa kama mimi.

Ushauri wangu jaribu kutumia na wewe japo inavuruga tumbo,ukianza na kijiko kidogo cha chai nusu saa kabla ama baada ya kula mara tatu kwa siku na kila ukipata nafuu ongeza kijiko cha pili hivyo hivyo mpaka vifike vijiko vitatu kabla ama baada ya kula kwa mda wa mwezi mmoja..

Pia uendele kutotumia vyakula hatarishi then utatujuza khali yako...
I wish you quick recovery.
 
Back
Top Bottom