Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Maisha ya ndoa yana changamoto mno, Jah awe anasimama na wanandoa tyuuh.
God honors marriage ; ndiyo maana hata alifananisha uhusiano wa mke na mume; na uhusiano wa Kristo na Kanisa. Changamoto nyingi sana zinakuja kwa sababu ya kuvunja misingi ya familia. Na shetani since anajua jinsi Mungu anavyoiheshimu ndoa; na zaidi ndoa ni kusudi la Mungu; hatoacha wanandoa waishi kwa amani; changamoto kama zote. Ndoa/familia ikiwa utulivu; utaona hata kwenye nyanja nyingine kuna utulivu pia; ndoa/familia ikivunjika; madhara yake tunayaona. Tunaishia kuishi kinyume na mpango na kusudi la Mungu; na kilicho nje na mpango wa Mungu; aisee utaona jua litakavyowaka
 
Baby mama wangu alinizunguka aisee. Akaenda akamchimbia mama kisima cha maji bila mimi kujua. Na vitu vingine vingi. Sikukuu zote mimi siombwi kitu kumbe ni mwinga wake keshafanya. Yaani walikuwa wanapendana hatari. Mpaka mama akiumwa anatafutwa yeye kwanza na siyo mimi...hata baada ya kutemana naye bado wakabakia kuwa karibu; and this was super awkward to me. Yaani alikuwa anamwona kama binti yake kabisa. Mpaka wengine wakawa wanasema pengine kwa vile mimi ni kitinda mimba basi alikuwa amehamishia upendo huo wa last born kwa huyo binti.

Kwa hiyo naelewa sana shem. Wakikupenda hawa wazee basi wamekupenda na wakikuchukia mtiti wake pia ni shida...Ni lazima pia shem una roho njema, mwenye heshima na upendo. Vinginevyo msingeelewana hivyo. Hongera shem!
Weee!!!mpk raha yaani mwanaume wajiskia fahari mnoo kua na huyo mke, hakuna kitu wanaume wanapenda kama maelewanao kati ya mwinga na mama.Kanuni za ndoa

Mheshimu mama alokuzalia mumeo maana bila yeye huyo mume usingempata na ni mama yako..

Wasukuma ukiwa sio mnyimi watakupenda sana wape chakula mda woootee yaani hapo utawashika haswaaaa!!!

Maneno maneno madogo madogo nayo sio mazuri yaani hayo ndo chanzo cha vurugu
Kununa Nuna mtoto wa kike nako kwa wasukuma hutakaa asehhm
Maana ni wakarimu mnooo!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
God honors marriage ; ndiyo maana hata alifananisha uhusiano wa mke na mume; na uhusiano wa Kristo na Kanisa. Changamoto nyingi sana zinakuja kwa sababu ya kuvunja misingi ya familia. Na shetani since anajua jinsi Mungu anavyoiheshimu ndoa; na zaidi ndoa ni kusudi la Mungu; hatoacha wanandoa waishi kwa amani; changamoto kama zote. Ndoa/familia ikiwa utulivu; utaona hata kwenye nyanja nyingine kuna utulivu pia; ndoa/familia ikivunjika; madhara yake tunayaona. Tunaishia kuishi kinyume na mpango na kusudi la Mungu; na kilicho nje na mpango wa Mungu; aisee utaona jua litakavyowaka
🙏🙏🙏
 
Weee!!!mpk raha yaani mwanaume wajiskia fahari mnoo kua na huyo mke, hakuna kitu wanaume wanapenda kama maelewanao kati ya mwinga na mama.Kanuni za ndoa

Mheshimu mama alokuzalia mumeo maana bila yeye huyo mume usingempata na ni mama yako..

Wasukuma ukiwa sio mnyimi watakupenda sana wape chakula mda woootee yaani hapo utawashika haswaaaa!!!

Maneno maneno madogo madogo nayo sio mazuri yaani hayo ndo chanzo cha vurugu
Kununa Nuna mtoto wa kike nako kwa wasukuma hutakaa asehhm
Maana ni wakarimu mnooo!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Asante bina
Nimechukua desa
 
God honors marriage ; ndiyo maana hata alifananisha uhusiano wa mke na mume; na uhusiano wa Kristo na Kanisa. Changamoto nyingi sana zinakuja kwa sababu ya kuvunja misingi ya familia. Na shetani since anajua jinsi Mungu anavyoiheshimu ndoa; na zaidi ndoa ni kusudi la Mungu; hatoacha wanandoa waishi kwa amani; changamoto kama zote. Ndoa/familia ikiwa utulivu; utaona hata kwenye nyanja nyingine kuna utulivu pia; ndoa/familia ikivunjika; madhara yake tunayaona. Tunaishia kuishi kinyume na mpango na kusudi la Mungu; na kilicho nje na mpango wa Mungu; aisee utaona jua litakavyowaka
Mama malezi bas,
 
Kazi inaendelea..
20220319_012905.jpg
 
Karudi mkoani tena?

Atakuwa OK shemu wala usiwe na wasiwasi...

Maisha ni kuwa na furaha na amani. Ukimpata anayekupa haya mawili basi komaa naye sana mpaka kieleweke. Yamekuwa mambo ya nadra sana hasa siku hizi.
nimecheka sanaa sentensi ya mwanzo bado ana haso mkoa anapambana kiumee!!!
Maisha ni mafupi mnoo!ukipendwa pendekaa

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
God honors marriage ; ndiyo maana hata alifananisha uhusiano wa mke na mume; na uhusiano wa Kristo na Kanisa. Changamoto nyingi sana zinakuja kwa sababu ya kuvunja misingi ya familia. Na shetani since anajua jinsi Mungu anavyoiheshimu ndoa; na zaidi ndoa ni kusudi la Mungu; hatoacha wanandoa waishi kwa amani; changamoto kama zote. Ndoa/familia ikiwa utulivu; utaona hata kwenye nyanja nyingine kuna utulivu pia; ndoa/familia ikivunjika; madhara yake tunayaona. Tunaishia kuishi kinyume na mpango na kusudi la Mungu; na kilicho nje na mpango wa Mungu; aisee utaona jua litakavyowaka
Binamu unaongeaga kibiblia sanaa!!!kama sio wewe mwenye kishunduumenena vyema kabisaa
Watu wanakiuka misingi ya Mungu baaasiiii!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom