Si Moro auHuko huko wapi?

Sijui na mimi nilete picha yangu ya hivi.

Ndiyo mimi nipo?Si Moro au![]()
Kama umevaa kama hivyo; ilete🤣🤣🤣Sijui na mimi nilete picha yangu ya hivi.
HS nilete nisilete?![]()
Itakua ulitoka kidogo maana nilikuona mida ile ukiwa hapaA wapi
Sikuwepo![]()
Kama umevaa kama hivyo; ilete![]()



MweeItakua ulitoka kidogo maana nilikuona mida ile ukiwa hapa

Eeeh ndiyo maana yake. Usilete ambayo umevaa kama upo na Abiud
Yaani yenye watu wawili kama hivyo
HeeeEeeh ndiyo maana yake. Usilete kama ya kina Abiud



Kaa nayo tuHeee
Itakuwaje sasa,?
Ndo iliyopo![]()
Tinsley shahidi wangu njoo unisaidieMwee![]()
🤣🤣🤣🤣 Hizo za Mshana Jr sizitaki aise.🙉 Mambo yanaweza kuwa mengi ghafla 🙄😀😀😀😀... mcheki Mshana Jr atumie utaalamu wake uzikute kwenye mkoba
Upload mwanzo mwanzao lazima iwe kubwa kuliko download.. kuna siku nilianglia history ya account moja hadi nilichoka.. upload $ 10,000+ download sasa hii hadi ushunguuuu.. but king'ang'azi na kuto kata tamaaa.. ingia bwanaaa weka ka. mzigo ambapo roho haito uma hata kakienda na maji 😀😀😀
AminaNamshukuru Mungu kwa siku mpya
Nzuri tu kaka vipi wewe huko ?
Sasa si ulisubiri niondoke ndo uwekeTinsley shahidi wangu njoo unisaidie

😀😀😀😀😀 ukipoteza nitapitisha bakuri kwenye team yetu tukuchangie urudishe ulichopotezaaa.. never give up hata uanguke mala ngapi🤣🤣🤣🤣 Hizo za Mshana Jr sizitaki aise.🙉 Mambo yanaweza kuwa mengi ghafla 🙄
Safi sana!👊🏾👊🏾
Ila hiyo ndio raha ya kujua unachokifanya. Hata siku mambo yasipokuwa mazuri sana bado unajua ukikomaa kitaeleweka tu. Ila acha kunishawishi maana hata hako ambako nikiweka roho haitouma bado itauma mpaka nirudi kukulilia. 😁