Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Chumba chako nilivunja nikafanya wardrobe. Hivyo utalala sebuleni ukirudi.

Hebu kwanza uweke hiyo kambo sawa kama sio wewe unahusika basi muombe sana Mungu akufanyie wepesi.
Nitalala hata nje.
Sio mimi.. Mimi ni mweupe halafu pia unajua nguo za hivo sivai.
Acha nimuombe Mungu tuu.
 
Huu Uzi baada ya miezi miwili tutarajie kutamalaki kwa nyuzi zenye vichwa vifuatavyo..


1. Wanaume wote Ni sawa tu mxiiiiiieeewwww
2. Amenigegeda akaniacha
3. Wanawake punguzeni kudanga mtatuua
4. Sitasahau alichonifanyia yule hayawani baada ya kwenda kwake.
5. Wanawake tujifunze kutokana na makosa
6. Hivi wanawake wa Dar mtaacha njaa lini ??



Yetu Macho Tu.
Hahaha leo hamshindi
 
Back
Top Bottom