Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,203
TWa nne ni nani eti auntie
TWa nne ni nani eti auntie
Nitalala hata njeChumba chako nilivunja nikafanya wardrobe. Hivyo utalala sebuleni ukirudi.
Hebu kwanza uweke hiyo kambo sawa kama sio wewe unahusika basi muombe sana Mungu akufanyie wepesi.


. JamaniiiiWakane tu![]()
Uko kama mimi, nikivaa hivyo sivuki mlango wa chumbani, sijui ndio ushambaNitalala hata nje.
Sio mimi.. Mimi ni mweupe halafu pia unajua nguo za hivo sivai.
Acha nimuombe Mungu tuu.



Kawaida yako mbona.Jamaniiii
Shukrani kwa somo bachela sugu.
Kumbe wewe ndio umenirisisha ushamba wako eehUko kama mimi, nikivaa hivyo sivuki mlango wa chumbani, sijui ndio ushamba
Nilimaanisha kama sio wewe unahusika na sumbai kuchepuka. Si unajua wanasemaga sisi ndio chanzo.





. 
Mungu hapendi jamani unavyojimwambafai JeiefuKawaida yako mbona.
Aya mama mdogo ..ngoja nipambane na Nokia Asha yangu apaBila tekno huzioni.

Awwww![]()
Inakufaa kabisa, sio kwa utaalamu uleDoh...ushanipa na aka

Kumbe wewe ndio umenirisisha ushamba wako eeh.
Sihusiki bhana ni vile wanaume hata ukimpa nyama kila siku atakula mifupa tuu![]()









Hahaha leo hamshindiHuu Uzi baada ya miezi miwili tutarajie kutamalaki kwa nyuzi zenye vichwa vifuatavyo..
1. Wanaume wote Ni sawa tu mxiiiiiieeewwww
2. Amenigegeda akaniacha
3. Wanawake punguzeni kudanga mtatuua
4. Sitasahau alichonifanyia yule hayawani baada ya kwenda kwake.
5. Wanawake tujifunze kutokana na makosa
6. Hivi wanawake wa Dar mtaacha njaa lini ??
Yetu Macho Tu.




Ila acha waziharibu tu, mafundi nao wapate mtonyo
Usiku mwema auntie
Unakwenda kumjambazia nani mapema yote hii?Usiku mwema auntie
mbona uneguna mze mamaMmmhhh