Kwani Hornet ni wa chugani???Madada wa chuga hawajawahi kuniangusha kwenye rangi na umbo..![]()
Nashtuka kote kote ex wangu!!Ex darling wewe una kazi ya kustuka tu![]()

Kule wapi tena ex!!Mbona kule huwa hustuki?![]()
Kule tunakostuana.Kule wapi tena ex!!
Ex darling nitawafungia wote ila sio wewe, na unajua. Yo ma weakness.umenifungia nje ex, sina hata pa kupitia.
Teh teh teh! Unanivimbisha bichwa tu hapa!!Ex darling nitawafungia wote ila sio wewe, na unajua. Yo ma weakness.
Chora chini ubandue.Mpaka nione hela
..and I know you know II know you know![]()
. Basi tu unajichetua...haha katecno tenaDaaah!! Pole sana, ungekuwa na katecno ungeziona.

Bila tekno huzioni.haha katecno tena![]()
..hako pia ni kamsemo unakapenda. Hivi naruhusiwa kuja kukusalimia? Halafu nione unafanyaje now!!!
Eti najichetua![]()
