Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nkamu umeongea kwa hisia[emoji27] Mungu akusimamie uje ufanikiwe upate ajira au ufanikiwe kwenye biashara zako

Sawa Nkamu
Ndiyo.
Kuna watu wamelala nyumbani,wanatamani hata wangepata shughuli ya kuwanyanyua hapo nyumbani ila hawana ..hawaelewi watatoa wapi mkate.


Kuna wengine jua la Dar lile linatoboa utosi [emoji23]ila tunapambana kuuza barafu.
Kujiajiri kazi nkamu,,mara unaenda asbh unakuta Suma washang'oa kibanda chako[emoji23]

Mshukuru Mungu Tena[emoji120]
 
Maliza shule
Muombe Mungu akupe kibali huko sokoni [emoji120]
Na wewe siku utaandika hapa mambo ya michosho iliyopo huko.
Jaman kuna michosho gan huko makazini? Hapo kwenye kibali sokoni tayari nipo nje ya uwanja, Eeeh Jah atende miujiza tyuuh. [emoji120][emoji120]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Ila mashabiki wa Arsenal wanavutia.. wako na zile physical appearances safi kabisa.

Ni kama vile asilimia kadhaa ya ma gents na ma beautiful ladies walienda Arsenal

Source: rafiki zangu na ndugu zangu
Naunga mkono hoja.

Mfano mzuri ni kaka yetu uchembe ERoni selfie zake humu.

Kwanza jezi zao zinawapendeza kinyama.
 
Kaa kwa kutulia

Timu la friimason ilikuwa lazima lishinde

Salah wa kuingia kipindi cha pili

Uliona wapi[emoji1787][emoji848]
Nimecheka sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akiyanani ingekuwa Mpira uchawi basi tz tungechukua makombe kila siku[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Huu utetezi ameuanza billdrago[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wangoni kama wangoni...mpo vizuri kunako!!! Hongereni mnoooo[emoji8][emoji8][emoji8]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wangoni kwa kupenda mizagamuo, Songea guest bubu had za 3k per day, yaan guest zimezidi nyumba za kuishi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Wangoni hoyeeeeeeeh,

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo.
Kuna watu wamelala nyumbani,wanatamani hata wangepata shughuli ya kuwanyanyua hapo nyumbani ila hawana ..hawaelewi watatoa wapi mkate.


Kuna wengine jua la Dar lile linatoboa utosi [emoji23]ila tunapambana kuuza barafu.
Kujiajiri kazi nkamu,,mara unaenda asbh unakuta Suma washang'oa kibanda chako[emoji23]

Mshukuru Mungu Tena[emoji120]
Nakazia.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wangoni kwa kupenda mizagamuo, Songea guest bubu had za 3k per day, yaan guest zimezidi nyumba za kuishi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Wangoni hoyeeeeeeeh,

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Wauuweeeeeeehhh!! Nasikia mnakata viuno feni ikasome!![emoji12][emoji12][emoji12]
 
Back
Top Bottom