Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
EwaaNitaifanyia maombi ya siku 3. Nitaanza nayo jion![]()
Na wote tuseme Amen
Utaikuta kwa baba mtumishi,nilimkabidhi ili akuletee

EwaaNitaifanyia maombi ya siku 3. Nitaanza nayo jion![]()

Moshi kuna nini acha ukorofi🤣🤣Moshi oyee 🤸🏻♀️🤸🏻♀️
Ni angle ya picha tuki compare na hii ya leo au? Aisee ile uko na perfect body kinyama 😘😘
Nikudorishie? Ila tatizo some viewers here wanaweza kukonekti doti 🚶🏻♀️🚶🏻♀️
Mdomo koma 🤣🤣🤣Mweee
Utanifanya nianze kutafuta mashabiki wa Asenali humu![]()
😹😹😹Moshi kuna nini acha ukorofi🤣🤣
Hahaaa santee, saivi nishazeeka ubonge umenitembelea perfect body nimekuachia wewe😂😍
Naomba nidorishie private tasavali
Kwa sababu nimeona mnawasifia mashabiki wa aseno hapo juu,Hadi Depal akasema mashabiki wa asno ni wavumilivu na akawapa sifa kedekede na wote mkaitikia AMEN..Nimeolewa ila sio kiviiiiiiile.
We ni shabiki wa Arsenal?
Niko hapa leo, nikisinzia naomba unitag nisije kupitwaInakuja usitoke boss
Selfie moja tafazali na Arsenal jerseyKwa sababu nimeona mnawasifia mashabiki wa aseno hapo juu,Hadi Depal akasema mashabiki wa asno ni wavumilivu na akawapa sifa kedekede na wote mkaitikia AMEN..
Basi Kwa muktadha huo,Mimi ni shabiki wa arsenal damu!!
Acha kuninyanyasa JamaniMdomo koma![]()

Mpiga picha alikua makini na kazi, nilimwambia mapema kuwa hii picha ni spesheli so amakinike basi naye nashukuru hakuniangusha😹😹😹
We ile ya kfc noma, labda uisingizie angle ya picha.
Na mimi perfect body namuachia nachuro 🤣🤣
Inakuja..
Mimi hapa arsenal nipo..huna haja ya kutafutaMweee
Utanifanya nianze kutafuta mashabiki wa Asenali humu![]()
Tunataka hapahapaMoshi kuna nini acha ukorofi
Hahaaa santee, saivi nishazeeka ubonge umenitembelea perfect body nimekuachia wewe
Naomba nidorishie private tasavali


Hibiscus 🌺 tea inafanyaje mwilini?
Naendelea kukutagNiko hapa leo, nikisinzia naomba unitag nisije kupitwa
Kumbe jambo dogo hivyoWee mzee hata ushawishi hujui, umepoa km mkojo wa mbuzi, afu hata hujiongezi, kiufupi huna maajabu,
Wenzako ombi sio maneno, ni muamala kila kitu kinaji sett automatically, kwan unakwama wapi,
Mie muongo eti shouzzzzzzzz mahondaw
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Si nimemtuma Balozi akuletee Ile zawadi nimeambiwa eti umehamia mtaa wa 7🙈Sijakuamini wapi jamani!?