Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nitaamini vipi

Ikiwa ombi langu

Umelikalia
Wee mzee hata ushawishi hujui, umepoa km mkojo wa mbuzi, afu hata hujiongezi, kiufupi huna maajabu,

Wenzako ombi sio maneno, ni muamala kila kitu kinaji sett automatically, kwan unakwama wapi,

Mie muongo eti shouzzzzzzzz mahondaw

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
We Binti umenishinda tabia

Hili jambo linaongeleka, please tusifike huko mwishowe ukawaambia vijana next game watufunge bao 4 bure
Mtachagua tuwafunge ngapi
JamiiForums1417732377.jpg
 
Mount Meru Hotel
Eeh uende weekend hali ya hewa ikiruhusu

Ni ya last week, ilikua KFC
Ooh thank you bebe😊😍😘
Moshi oyee 🤸🏻‍♀️🤸🏻‍♀️

Ni angle ya picha tuki compare na hii ya leo au? Aisee ile uko na perfect body kinyama 😘😘
Nikudorishie? Ila tatizo some viewers here wanaweza kukonekti doti 🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️
 
🤣🤣🤣🤣 ila we mzee

Haya 🚶🏻‍♀️
Nimefanya nini rafiki?

Isingekuwa ni Shabiki wa Arsenal huenda saivi ningekuwa naongoza maandamano ya kudai Pension yetu na Wastaafu wenzangu, Kila wakitaka kuandamana nawaambia tuvumilie kama Arsenal tunavyovumilia Epl tangu 2004.

Mama anaupiga mwingi kwahiyo atatukumbuka tu na Pension yetu 🥱
 
Nimefanya nini rafiki?

Isingekuwa ni Shabiki wa Arsenal huenda saivi ningekuwa naongoza maandamano ya kudai Pension yetu na Wastaafu wenzangu, Kila wakitaka kuandamana nawaambia tuvumilie kama Arsenal tunavyovumilia Epl tangu 2004.

Mama anaupiga mwingi kwahiyo atatukumbuka tu na Pension yetu 🥱


Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom