Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Mkuu unamaanisha nini?
Daah baba Joy Mungu akuweke sana. Yaani tangu nione hii comment ni ninacheka hadi machozi. Kwa nini kumtaja Mtumishi wa Mungu lakini?







Letaa ya casual hapa mama malezi.Nimekuelewa. Mimi binafsi huwa navaa kutokana na mazingira; pa stara nagonga vitu vyangu vya kistara; muda wa casual aah kama sio mimi mvaa vitenge



Daah baba Joy Mungu akuweke sana. Yaani tangu nione hii comment ni ninacheka hadi machozi. Kwa nini kumtaja Mtumishi wa Mungu lakini?






Kutokuwepo humu haimaanishi nililala.




Naona Diego Jota ana kismart Cha kutufunga Arsenal mara Kwa mara, hata lile kombe la Fa alitufunga na kutolewa kwenye mashindano Kwa sababu yake.Kutokuwepo humu haimaanishi nililala.
Kuna baadhi ya watu tu niliwaonea huruma,nikaamua nipunguze kuwanyanyasa.
Tangu mechi inaisha nilikuwepo Uzi wa liver na Kwa taarifa fupi ni kwamba tumeshinda
Kuna watu sijui wataniambia Nini
View attachment 2153543
Performance yenu Jana ilikuwa nzuri..Naona Diego Jota ana kismart Cha kutufunga Arsenal mara Kwa mara, hata lile kombe la Fa alitufunga na kutolewa kwenye mashindano Kwa sababu yake.
All in all, nafarijika na improvement yetu nowadays. Tuna shambulia na kufanya trials za kufunga kila tupatapo nafasi sio kama zamani za kocha Emere.
Top 4 Mwaka huu tunaingia inyeshe mvua liwake Jua.
Gunners forever![]()




















Daah baba Joy Mungu akuweke sana. Yaani tangu nione hii comment ni ninacheka hadi machozi. Kwa nini kumtaja Mtumishi wa Mungu lakini?

siunajua ndege wafananao 
Mimi mwenyewe nimechekaUmeamkaje mdogo wanguPerformance yenu Jana ilikuwa nzuri..
Kuanzia possession of balls,mashambulizi
Kwa kweli mpo vizuri... mechi ya Jana haikuwa rahisi sana kwetu kwanza tulikuwa ugenini Emirates.
Ila asenali na nyie mkichezaga na timu ndogo mnakuwa mafundi kweli .
Timu kubwa zinawachakaza mnakuwa weupe kama karatasi.
ERoni nakusalimia.
Leo sikugusi.
Nawataka Hawa Wana Depal ,Fortnox na Wigelekelo waliojitolea kutusagia kunguni
Vipi Wasaga kunguni,kazi yenu imetick???
Ngapi huko
Biliiiii
Unaona sasa timu za wanaume tunashinda ugenini..
Nyie AM imewachakaza mubashara kabisa nje ndani mkiwa nyumbani..hakuna timu pale.
Na tunawasubiri anfield mwezi ujao tuwachinjie nje mazima
YNWAView attachment 2153551
Hahaha siunajua pigo zake huyo pasta na wife wake old school fulaniSijui kwa nini kamchagua Abiudi Misholi. Nina CD zake kama nne hivi imebidi nikazitafute yaani. Huu wimbo wa Tenda Miujiza Naupenda sana. Nimeusikiliza huku nacheka yaani. JF bana dah!
View attachment 2153419

Ila nyimbo zao nzuriOf course ni kama game ilikuwa 50/50 tu, ukiangalia shots on target 2/3 nyie 2 mbili mkazi convert kuwa magoli wakati sisi zimeokolewa. Lakini ukiangalia hata mashambulizi hatari tumefanya mengi 52 dhidi 38 yenu.Performance yenu Jana ilikuwa nzuri..
Kuanzia possession of balls,mashambulizi
Kwa kweli mpo vizuri... mechi ya Jana haikuwa rahisi sana kwetu kwanza tulikuwa ugenini Emirates.
Ila asenali na nyie mkichezaga na timu ndogo mnakuwa mafundi kweli .
Timu kubwa zinawachakaza mnakuwa weupe kama karatasi.
ERoni nakusalimia.
Leo sikugusi.
Nawataka Hawa Wana Depal ,Fortnox na Wigelekelo waliojitolea kutusagia kunguni
Vipi Wasaga kunguni,kazi yenu imetick???
Ngapi huko
Biliiiii
Unaona sasa timu za wanaume tunashinda ugenini..
Nyie AM imewachakaza mubashara kabisa nje ndani mkiwa nyumbani..hakuna timu pale.
Na tunawasubiri anfield mwezi ujao tuwachinjie nje mazima
YNWAView attachment 2153551
Eti ndege wafananao..!!siunajua ndege wafananao
Mimi mwenyewe nimecheka






Hahaha hupendi nini ?Sipendi ujue![]()
BoresheniOf course ni kama game ilikuwa 50/50 tu, ukiangalia shots on target 2/3 nyie 2 mbili mkazi convert kuwa magoli wakati sisi zimeokolewa. Lakini ukiangalia hata mashambulizi hatari tumefanya mengi 52 dhidi 38 yenu.
Kuna vitu vichache tunahitaji kuviboresha ila I can see bright future with this Arsenal![]()







SalamaUmeamkaje mdogo wangu
Timu lenu siavi mmeacha mipira mmegeukia u free Mason Ngoja siku hiyo na man utd hayo mapepo lazima yatoke yatake yasitake mpaka Leo hua hatujui zile tano zilifikaje Ni nguvu zenu za gizaPerformance yenu Jana ilikuwa nzuri..
Kuanzia possession of balls,mashambulizi
Kwa kweli mpo vizuri... mechi ya Jana haikuwa rahisi sana kwetu kwanza tulikuwa ugenini Emirates.
Ila asenali na nyie mkichezaga na timu ndogo mnakuwa mafundi kweli .
Timu kubwa zinawachakaza mnakuwa weupe kama karatasi.
ERoni nakusalimia.
Leo sikugusi.
Nawataka Hawa Wana Depal ,Fortnox na Wigelekelo waliojitolea kutusagia kunguni
Vipi Wasaga kunguni,kazi yenu imetick???
Ngapi huko
Biliiiii
Unaona sasa timu za wanaume tunashinda ugenini..
Nyie AM imewachakaza mubashara kabisa nje ndani mkiwa nyumbani..hakuna timu pale.
Na tunawasubiri anfield mwezi ujao tuwachinjie nje mazima
YNWAView attachment 2153551
Eti ndege wafananao..!!
Hebu acha kumchekesha dada wa watu
Hapo anacheka hivyo na hajasikia zile stori za bibi Isimani ..si atacheka hadi ajikojolee sasa![]()


matani yangu mwenyewe hua YananichekeshaMarahaba mama mchungajiSalama
Shkamoo brother