Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Saint Anne

Goma ni mapumziko

Kulikoni umekata pumzi

Kumbe shabiki maandazi wewe
Kutokuwepo humu haimaanishi nililala.

Kuna baadhi ya watu tu niliwaonea huruma,nikaamua nipunguze kuwanyanyasa.

Tangu mechi inaisha nilikuwepo Uzi wa liver na Kwa taarifa fupi ni kwamba tumeshinda

Kuna watu sijui wataniambia Nini
JamiiForums-1329923752.jpg
 
Kutokuwepo humu haimaanishi nililala.

Kuna baadhi ya watu tu niliwaonea huruma,nikaamua nipunguze kuwanyanyasa.

Tangu mechi inaisha nilikuwepo Uzi wa liver na Kwa taarifa fupi ni kwamba tumeshinda

Kuna watu sijui wataniambia Nini
View attachment 2153543
Naona Diego Jota ana kismart Cha kutufunga Arsenal mara Kwa mara, hata lile kombe la Fa alitufunga na kutolewa kwenye mashindano Kwa sababu yake.

All in all, nafarijika na improvement yetu nowadays. Tuna shambulia na kufanya trials za kufunga kila tupatapo nafasi sio kama zamani za kocha Emere.

Top 4 Mwaka huu tunaingia inyeshe mvua liwake Jua.

Gunners forever 💪💪💪
 
Naona Diego Jota ana kismart Cha kutufunga Arsenal mara Kwa mara, hata lile kombe la Fa alitufunga na kutolewa kwenye mashindano Kwa sababu yake.

All in all, nafarijika na improvement yetu nowadays. Tuna shambulia na kufanya trials za kufunga kila tupatapo nafasi sio kama zamani za kocha Emere.

Top 4 Mwaka huu tunaingia inyeshe mvua liwake Jua.

Gunners forever
Performance yenu Jana ilikuwa nzuri..
Kuanzia possession of balls,mashambulizi
Kwa kweli mpo vizuri... mechi ya Jana haikuwa rahisi sana kwetu kwanza tulikuwa ugenini Emirates.

Ila asenali na nyie mkichezaga na timu ndogo mnakuwa mafundi kweli .
Timu kubwa zinawachakaza mnakuwa weupe kama karatasi.


ERoni nakusalimia.
Leo sikugusi.

Nawataka Hawa Wana Depal ,Fortnox na Wigelekelo waliojitolea kutusagia kunguni
Vipi Wasaga kunguni,kazi yenu imetick???
Ngapi huko

Biliiiii
Unaona sasa timu za wanaume tunashinda ugenini..
Nyie AM imewachakaza mubashara kabisa nje ndani mkiwa nyumbani..hakuna timu pale.

Na tunawasubiri anfield mwezi ujao tuwachinjie nje mazima

YNWA
JamiiForums-1329923752.jpg
 
Performance yenu Jana ilikuwa nzuri..
Kuanzia possession of balls,mashambulizi
Kwa kweli mpo vizuri... mechi ya Jana haikuwa rahisi sana kwetu kwanza tulikuwa ugenini Emirates.

Ila asenali na nyie mkichezaga na timu ndogo mnakuwa mafundi kweli .
Timu kubwa zinawachakaza mnakuwa weupe kama karatasi.


ERoni nakusalimia.
Leo sikugusi.

Nawataka Hawa Wana Depal ,Fortnox na Wigelekelo waliojitolea kutusagia kunguni
Vipi Wasaga kunguni,kazi yenu imetick???
Ngapi huko

Biliiiii
Unaona sasa timu za wanaume tunashinda ugenini..
Nyie AM imewachakaza mubashara kabisa nje ndani mkiwa nyumbani..hakuna timu pale.

Na tunawasubiri anfield mwezi ujao tuwachinjie nje mazima

YNWAView attachment 2153551
Umeamkaje mdogo wangu
 
Performance yenu Jana ilikuwa nzuri..
Kuanzia possession of balls,mashambulizi
Kwa kweli mpo vizuri... mechi ya Jana haikuwa rahisi sana kwetu kwanza tulikuwa ugenini Emirates.

Ila asenali na nyie mkichezaga na timu ndogo mnakuwa mafundi kweli .
Timu kubwa zinawachakaza mnakuwa weupe kama karatasi.


ERoni nakusalimia.
Leo sikugusi.

Nawataka Hawa Wana Depal ,Fortnox na Wigelekelo waliojitolea kutusagia kunguni
Vipi Wasaga kunguni,kazi yenu imetick???
Ngapi huko

Biliiiii
Unaona sasa timu za wanaume tunashinda ugenini..
Nyie AM imewachakaza mubashara kabisa nje ndani mkiwa nyumbani..hakuna timu pale.

Na tunawasubiri anfield mwezi ujao tuwachinjie nje mazima

YNWAView attachment 2153551
Of course ni kama game ilikuwa 50/50 tu, ukiangalia shots on target 2/3 nyie 2 mbili mkazi convert kuwa magoli wakati sisi zimeokolewa. Lakini ukiangalia hata mashambulizi hatari tumefanya mengi 52 dhidi 38 yenu.

Kuna vitu vichache tunahitaji kuviboresha ila I can see bright future with this Arsenal 💪💪💪💪
 
Of course ni kama game ilikuwa 50/50 tu, ukiangalia shots on target 2/3 nyie 2 mbili mkazi convert kuwa magoli wakati sisi zimeokolewa. Lakini ukiangalia hata mashambulizi hatari tumefanya mengi 52 dhidi 38 yenu.

Kuna vitu vichache tunahitaji kuviboresha ila I can see bright future with this Arsenal
Boresheni
Ila sisi ni moto wa kuotea mbali aisee
 
Performance yenu Jana ilikuwa nzuri..
Kuanzia possession of balls,mashambulizi
Kwa kweli mpo vizuri... mechi ya Jana haikuwa rahisi sana kwetu kwanza tulikuwa ugenini Emirates.

Ila asenali na nyie mkichezaga na timu ndogo mnakuwa mafundi kweli .
Timu kubwa zinawachakaza mnakuwa weupe kama karatasi.


ERoni nakusalimia.
Leo sikugusi.

Nawataka Hawa Wana Depal ,Fortnox na Wigelekelo waliojitolea kutusagia kunguni
Vipi Wasaga kunguni,kazi yenu imetick???
Ngapi huko

Biliiiii
Unaona sasa timu za wanaume tunashinda ugenini..
Nyie AM imewachakaza mubashara kabisa nje ndani mkiwa nyumbani..hakuna timu pale.

Na tunawasubiri anfield mwezi ujao tuwachinjie nje mazima

YNWAView attachment 2153551
Timu lenu siavi mmeacha mipira mmegeukia u free Mason Ngoja siku hiyo na man utd hayo mapepo lazima yatoke yatake yasitake mpaka Leo hua hatujui zile tano zilifikaje Ni nguvu zenu za giza
 
Back
Top Bottom