Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Timu lenu siavi mmeacha mipira mmegeukia u free Mason Ngoja siku hiyo na man utd hayo mapepo lazima yatoke yatake yasitake mpaka Leo hua hatujui zile tano zilifikaje Ni nguvu zenu za giza
Yesuuu
Umenisurprise...sikutegemea ungekuja na huu utetezi
Kweli mmevurugwa

Safari hii mnakuja kiumeni Anfield,tutawachakaza 10.
 
Leo kuna ki hali cha hewa mwanana
Na enjoy tu kuona fujo za vijana wa J. klopp
SA kama nakuona 🤣🤣
Mwenzako jana nilibet na shabiki wa Arsenal… nilimwambia mtafungwa
Na yamefungwa 🤣🤣

Nisubiri muamala nikale ugali dagaa wa mama Clareee 🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️
 
Leo kuna ki hali cha hewa mwanana
Na enjoy tu kuona fujo za vijana wa J. klopp
SA kama nakuona
Mwenzako jana nilibet na shabiki wa Arsenal… nilimwambia mtafungwa
Na yamefungwa

Nisubiri muamala nikale ugali dagaa wa mama Clareee

Hivi naye kwa akili ya kawaida,alikubali kabisa kubet na kuwapa arsenali ushindi!?
Kwa timu gani waliyonayo ya kuifunga Liverpool??
Hii nchi uhuru umezidi sasa

Hakuna namna,atoe hizo hela
 
Good morning to all blues fans
Venye tumeupiga jana UCL
Woiiii
Ni fireee
C4FA6748-6998-4162-A5A1-3110A22764A4.jpeg
 
Back
Top Bottom