Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Timu lenu siavi mmeacha mipira mmegeukia u free Mason Ngoja siku hiyo na man utd hayo mapepo lazima yatoke yatake yasitake mpaka Leo hua hatujui zile tano zilifikaje Ni nguvu zenu za giza
Yesuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji108]
Umenisurprise...sikutegemea ungekuja na huu utetezi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli mmevurugwa[emoji1787]

Safari hii mnakuja kiumeni Anfield,tutawachakaza 10.
 
[emoji3][emoji3] kila mtu afanye kazi anazopenda na kumudu...Leo siku ya kumuenzi shujaa MAGUFULi kada mwenzangu utakua wapi
Kwahiyo wewe hupendi kuchekesha?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na unaona haumudu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na imagine kama hivi tu hupendi hali iko hivi;ungekuwa unapenda je?
 
Aiseee
Unataka utupe gharama za kuja kukuuguza huko Mersey !
Nani atakuokota sasa pale Anfield ukizimia?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] dogo natembea na first aid kit..ila lazima tuweke genoside pale anfield mungu anatupa livapool kondoo wa kumchinja Kama zaka
 
Leo kuna ki hali cha hewa mwanana
Na enjoy tu kuona fujo za vijana wa J. klopp
SA kama nakuona 🤣🤣
Mwenzako jana nilibet na shabiki wa Arsenal… nilimwambia mtafungwa
Na yamefungwa 🤣🤣

Nisubiri muamala nikale ugali dagaa wa mama Clareee 🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] dogo natembea na first aid kit..ila lazima tuweke genoside pale anfield mungu anatupa livapool kondoo wa kumchinja Kama zaka
Hizo ni ndoto za kusadikika
Ni hiyohiyo Man u ya kina Maguire unaitegemea itufunge Au unatoka na timu yako pale njombe?
 
Leo kuna ki hali cha hewa mwanana
Na enjoy tu kuona fujo za vijana wa J. klopp
SA kama nakuona [emoji1787][emoji1787]
Mwenzako jana nilibet na shabiki wa Arsenal… nilimwambia mtafungwa
Na yamefungwa [emoji1787][emoji1787]

Nisubiri muamala nikale ugali dagaa wa mama Clareee [emoji2212][emoji2212]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi naye kwa akili ya kawaida,alikubali kabisa kubet na kuwapa arsenali ushindi!?[emoji3]
Kwa timu gani waliyonayo ya kuifunga Liverpool??
Hii nchi uhuru umezidi sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hakuna namna,atoe hizo hela
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi naye kwa akili ya kawaida,alikubali kabisa kubet na kuwapa arsenali ushindi!?[emoji3]
Kwa timu gani waliyonayo ya kuifunga Liverpool??
Hii nchi uhuru umezidi sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hakuna namna,atoe hizo hela
Eti hii nchi Uhuru umezidi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] we dgo na wew ni comedian
 
Good morning to all blues fans
Venye tumeupiga jana UCL
Woiiii
Ni fireee
C4FA6748-6998-4162-A5A1-3110A22764A4.jpeg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi naye kwa akili ya kawaida,alikubali kabisa kubet na kuwapa arsenali ushindi!?[emoji3]
Kwa timu gani waliyonayo ya kuifunga Liverpool??
Hii nchi uhuru umezidi sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hakuna namna,atoe hizo hela
😂😂😂 watu wanajisahau sana

Bora hata wangepambana wakadraw, mgawane points.
 
Back
Top Bottom